Acha kupotosha nyau wewe ,Hans alikuwa hajachanja na mzigo alitoka nao huko Kigoma kama Mwalim Kashasha.unapotosha ili upate faida gani wakati mtu na familia yake nzima inateketea 😏😏😏
Na angeuwa raia jamaa angepata upenyo wa kutema nyongo Ila sababu ameuwa polisi imeonekana wazi kabisa alikuwa na chuki na polisi,shida hili jambo halitazungumziwa tena maana wameshajua shida ipo wapi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.