Uzuri buku kumi kila mtu anayo tayari mfukoni mwake, akitoka hapo hata asiporudishwa anapitia mitaani kusalimia ndg na jamaa ambao hajaonana nao kitambo
Anachokifanya JK ni sawa, huwezezi kiongozi kuamka na kukurupuka kufukuza watu, nchi ni yetu sote, pamoja na wale tunaowapenda na tusio wapenda( wezi na mafisadi pia) ni part ya raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.