Yani umeona hilo ndo la maana kuliko nchi yako inayouzwa na hao unaowatetea!
Achana na sisi wewe, Huna tofauti na Ombaomba anayeomba hela yake mwenyewe kwa kuililia ka siyo yake.
Badilika basi hata kama ulipewe takrima ya kanga!:mad2:
Inapendeza sana sis watz kuamka na kuonesha wazi kuwa tunaweza kuikomboa nchi kutoka kwa wakoloni mafisadi wanaojipandikiza kana kwamba nchi hii wao ndo walizalïwa kwanza na kupewa madaraka ya kututawala. Bigup wana Arumeru.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.