njia gani ya ku add gadget ya jamiiforum kwenye google sidebar, ya laptop, ZINAKUJA NYINGINE TU za NJE na mimi nataka za habari za hapa nchini tz zaidi, AU JAMIIFORUM KWA UJUMLA, that's my point!
LAKINI IPO SIKU TU WATANZANIA TUTAGUNDUA KIINI CHA HAYA YOTE! Ushauri wangu ni kwamba mara tutakapogundua, IWE NI MUNGU, au MTU tuliyemkosea, basi tusiogope KUREKEBISHA naye!!! Hivi ninyi hamwoni????!! Ingekuwa hili ni gari nadhani tungelikataa kulipanda, zaidi sana pale ambapo tunajua wazi...
Inahitajika hekima ya MUNGU sana kwa swala hili.Pande zote kunaonyesha hatari fulani!LAKINI LAZIMA MOJA LIFANYIKE!!Sijui ningekuwa Raisi ningemwendea nani anipe HEKIMA KAMA YA MFALME SULEMANI!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.