Wana JF Nahitaji Laptop haraka iwezekanavyo kwa bei nafuu sana, hata kama ni used lakini iwe imesimama no scraches,Uwezo wa Battery 2hrs plus,Details Ram 2Gb au zaidi,Processor kuanzia 1.8GHZ na kuendelea.aliyenayo tuwasiliane kwa 0754 364363.
Nahitaji Gharama ya kuagiza gari aina ya Honda HR-V ya mwaka 2003,Trans Aut,Grade 4.0,RHD,Engine CC 1500-1600,AC,Music System,FM radio etc. Naomba gharama ya Bandari ya DSM tu. CIF Dar. my Contact # 0754 364363
Wacha usaniii wa kishuleshule wewe, ulinipigia na kunieleza unayo Toshiba Laptop tukaelewana bei,nikakuambia uniletee hapa kitega uchumi hukutokea na kila nikupigia hupokei simu, sijui ulikuwa unavizia ya mtu uipige, halafu dili likabumbuluka,kama auko makini na unachokitangaza kwanini usikae...
Hapana nilibadilisha rangi kwasasa ni nyeusi lakini kadi bado sijabadilisha ila kama uko interested kulichukuwa tukakubaliana nitabadilisha tu pamoja ownership hilo halina mjadala.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.