Umegonga penye mshono
Hivi wanaotoa hizo kandarasi, ni vyama vya upinzani?
Inakuwaje ikiwa ni hiyo hiyo serikali inayoongozwa na CCM, ndiyo iliyompa mkandarasi huyo, halafu CCM hiyo hiyo itishie kumfukuza mkandarasi huyo??🙆
Huyo Mwenyekiti wa vijana wa mkoa wa Kagera, anapaswa ajiuzulu, bila kuchelewa
Kitendo cha Bosi wake, Katibu Mkuu, Dr Nchimbi, kukemea kauli yake na kuiita ya kijinga, basi hapaswi kuwepo tena ofisini kwake.
Tukio la kushambuliwa Kwa risasi gari alilokuwemo Mbunge Ole Sendeka, ni baya mno na linafaa Jeshi la Polisi lifanye uchunguzi ili kuwabaini waliotenda uovu huo.
Hata hivyo Kwa taarifa zilizotufikia zinasema kuwa tayari hivi sasa, kuna timu ya wataalamu, kutoka Jeshi la Polisi, limetumwa...
Tena Cha ajabu, eti huyo Ndumbaro, tunaaminishwa kuwa ana shahada ya PhD ya Sheria!
Hivi inawezekanaje Kwa mtu kama huyo tunayeaminishwa kuwa amebobea kwenye Sheria, atoe matamshi, ambayo anajua fika kuwa ni kinyume Cha Sheria?🙆
Ni ajabu na kweli!
Hiyo inaweza ikaingizwa kwenye maajabu makubwa ya duniani!
Eti mwizi wa mabilioni ya pesa, anaombwa ajitafakari?😙
Wakati Mtumishi wa kawaida serikalini, anafukuzwa kazi Kwa upotevu wa shs 50,000 tu
Kwa kweli inasikitisha sana.
Hebu imagine, Kwa mfano yule Mbunge wa Manyara, hadi clip zipo zinazomwonyesha akimnyanyasa yule kijana wake, hadi kumwingiza chupa ya soda sehemu za Siri, lakini yule mama hakujizuru, hadi pale Mheshimiwa Rais alipomtumbua!🙆
Hivi unakwendaje na Dereva, Secretary na Mlinzi wako, tena wahaya wenzako, kama vile hutawakuta wafanyakazi hao, huko uendako?
Inawezekana hizo habari zili-leak hadi ofisi kubwa ya nchi na ndiyo ikawa sababu ya kutumbuliwa kwake.😁
Kwa kweli inasikitisha sana!
Wanatugeuza watanzania wote kuwa ni wajinga sana, tusioweza kuhoji upuuzi wa Hilo Bunge letu, lililopitisha huo muswada.
Hao wabunge, mbona hawataki kutatua matatizo sugu ya mifuko hiyo ya jamii ya kikotoo, Kwa wafanyakazi waliofanya kazi katika maisha yao yote na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.