ukiafuatilia hizo nyaya za umeme pale ambapo godoro linaanza utaona Kuna macho ya mtu.it means mwanamke alikuwa na mtu(kimada) kamficha chini ya kitanda
kamanda mathias magamba sio watu wa kuwapa dhamana hata siku moja.hata wawe marafiki vipi but wakitofautiana ulaji tu.hapo huanza kuvuana nguo.
Badwel ashakuwa mzigo.
Mejeti hamna kitu.
kusila akafie mbele coz siku zake za kuishi zinahesabika
mbona huzungumzii pesa za mfuko wa jimbo alizo amua kuzitumia na baadae kuwapelekea wana Bahi majembe ya ng'ombe ambayo walitozwa hela? ilhali yalitakiwa yatolewe bure? baada ya kubanwa akarudisha hela za wananchi.
pia kuuza maeneo katika kata iliyo chini ya Diwani Donald Mejeti - Lamaiti (CCM).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.