Hakuwa binadamu wa kawaida, nguvu na maono kama malaika japo alikuwa katili sana na maamuzi kama ana moyo wa chuma, hakuna zaidi yake
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni
SI mwingine ni JOHN POMBE MAGUFULI
Kwangu mm nasema "HAKIKA MUNGU WETU YUPO(YU HAI) BILA SHAKA YEYOTE PHYSICALLY AND EMOTIONALLY LAKINI HIVI VITABU TAKATIFU(VIWILI) TULIVYOLETEWA VINA UBINADAMU NDANI YAKE TENA MWINGI TU"
USHAURI WANGU: TAFUTA NAMNA BORA YA KUWASILIANA NA MUNGU WAKO DIRECT hakika utanikumbuka.
Wote walioshauri hapo juu wanasahau /kupitiwa kuwa kuna LAANA
Mali ni zake japo kachuma na mama yako huna haki kuzikatalia
Pia huwezi jua baba na mama yako mahusiano yana changamoto gani au mama nae anamapungufu huwezi yasema hapa au huyajui..
Ushauri wangu usithubutu kumtishia...
Kwa majibu hapa !! tokana na matusi hayo !!! hakika kweli wewe ni Meneja ulioiva unastahili zaidi ya umeneja, Hongera kwa Busara yako
Bila hiyana muhudumie vema huyo mteja mtarajiwa wako ......
Kweli tayari nimeshachanganya naomba majibu sahihi ya maswali yangu kuhusu CNG na LNG ni ipi bora zaidi kwa magari ? gharama na pia magari ya CNG yataweza kutumia LNG ?
Shukran sana kwa hiyo elimu nimekuelewa vema
Pia nimeona huko kwingineko dunian yapo magari ya LNG na CNG Je wale waliobadili gari kutumia CNG na baadae hiyo mitambo ya LNG kukamilika hayo magari yataweza kutumia hizo zote gas ? au itabidi kubadili tena kwenda LNG ?
Na ni ipi...
Shukran kwa kutujuza, naomba kujua tuna aina ngapi za gas Mtwara ? Nasikia ipo LNG, kama ulivyotaja je hii inayojazwa kwenye magari huku Dar CNG inatoka wapi ? ni nini uhusiano wake LNG na CNG ?
Theory za wahasibu zinavyowadanganya, mbaya zaidi zinawaharibia maisha kbs, hadi aningia kaburini akiamini Ardhi pengine na nyumba zina appreciate in value, its a profitable ,Risk free Assets..
SIKU YA SENSA MADUKA RUHUSA KUFUNGULIWA?
Tafadhali wekeni wazi maduka mitaani ni ruhusa kufunguliwa leo?
Tunajua wafanyakazi leo ni mapumziko je sector binafsi hasa mitaani maduka nini utaratibu?
Madam kidogo uko nyuma, kwa sasa mashimo ya migomba ni futi 3 round dia., kina futi 2
na umbali wa shina na shina mita 2.5 to 4 tegemea na aina, migomba mirefu sana inahitaji nafasi pana
Ombi langu wafanye utafiti kwanza kujua yafuatayo:
1. Ni magari yapi(ya miaka ipi) yanayo tumika kwa wingi kuchangia uchumi kwa ujumla hasa jamii
Fuso 1984, Dala Dala Hiace 1996, Nissan civilian zote zilizojaa Dar , mwz nchi nzima hakuna ya 2005 ukiipata leta nikupe zawadi...
Mbona siku hizi waislamu nao WANAMFUATA / NIWAFUASI WA YESU ! ! kila kukicha wanashinda kuisoma BIBLIA kuliko hata Quruan yao ? ?
Tena waislam in future watakua wakristu bora sana kwa mujibu ya BIBLIA kwa maana ya bidii ya kuisoma na kuyatekeleza ipasavyo
Alifanya kwa vile wayahudi wenzake walivyokuwa wanafanya kwa mujibu wa mila na desturi zao
(wewe unadhani ni uislam) ?
Tofautisha dini na mila na desturi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.