Hii nchi ngumu sana mwacheni mkuu akapumzike jamani halali eti usiku kucha anawaza jinsi ya kutatua matatizo yetu. Ila tunajadili na hili pia tutawapa taarifa.....teh teh teeeh!
Bado tunajadili hili la mwalimu! ila kwa ufupi kikao chetu kimesha kwama kwani mwalimu alikuwa ni wa pekee kabisa katika tasnia ya utawala wa nchi yetu. Na wakati anaondoka madarakani alisema wazi kwamba
"Ni muda mrefu sasa nimekuwa napenda nipumzike kuuongoza nchi yetu ili kuwapisha wa tz...
Kuna tetesi za baadhi ya maofisa wa BOT kujihusisha na rushwa kwa kutoa vibali vya biashara ya non banking kwa watu wanaokopesha watanzania wenzao kwa riba za juu sana na kuchangia umaskini kwa mtanzania.
Pana mtu anaitwa Salva Kazimoto ndiye mhusika mkuu mla rushwa naomba vyombo husika fanya...
Hata kama wataanzisha shirika jipya si kweli kuwa ndo litakuwa na tija. Cha muhimu ni serikali iamue kwa ukweli kwamba sasa wanalifufua shirika hilo kwa kugharamia mahitaji yake yote ya mtaji mpya wote unaohitajika na madeni yake yote yalipwe. kuwepo na usimamizi na ufuatiliaji wa karibu wa...
Nawaomba wazee wa ccm wanaohisi chama kutofanya vyema kutokana na malengo ya uanzishwaji wake wajitoe ccm kuwekea mkazo kwa vitendo kama ishara ya kulazimisha mabadiliko ndani ya ccm.
Kwakweli inabidi tuendelee kumshauri mwenyekiti wetu mheshimiwa sana Kikwete ili tuweze kushindana kwa uwazi na kwa uhakika na wapinzani wetu wakuu Chadema. ki uhalisia chama chetu cha mapinduzi kinahitaji mabadiliko katika falsafa nzima ya itikadi kwa umma,siasa zake katika jamii na utumishi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.