lugha sio tatizo,kinachotakiwa ni ujumbe uliodhamiriwa kuwafikia walengwa.hata kama kiingereza chake ni upogoupogo lakini akafikisha ujumbe,mie sioni tatizo.big up kwake!
wana muda mwingi pamoja.wakiwa nyumbani wameshaongea mambo mengi ya msingi yanayohusu ndoa na familia yao,sasa kwenye gari waongee nini kama sio kupiga umbeya?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.