Mbona wana jf wengi wenu ni wachangiaji wazuri tu WA MADANYINGI SANA HUMU isipokuwa hiyo au mnaogopa kama mimi je hii ni kweli au ni upotoshaji jamii WA MAKUSUDI.
Na kama ni kweli je Si HAKI KWA WAMERU Kudai ardhi yao hata kwa ncha ya upanga na kusapotiwa na WATANZANIA WENZAO
Naomba...
Huyu mwanamke nampata aliwwai kuniharabia utaratib wangu WA safari 3yrs ago.kazi Inayonfaa ni ya kuuza sumu ni bonge ya satana!!!!!!!!!!roho yake ni nyeus kama sura ake ilivyo!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.