Hizi ni sehemu chache sana za mji, picha nyingi sana ni Za Mt meru hotel. Kwa kifupi Arusha Bado ni chafu sana , uongozi WA jiji una kazi kubwa kwenye suala la usafi.
Jamani jamani, mama huyu anatia huruma, lakini huruma zaidi ni kwa huyo mtoto. Mara ngapi tunasikia watoto wanatupwa na hata kuuuwawa baada ya kuzaliwa na hata kabla ya kuzaliwa. Nyote nyie ni mashahidi huyu si muuaji kwani hakudhubutu hata kumwacha mwanae kipenzi nyumbani aende huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.