Mzee hili la Rutihinda kuzikwa Buguruni lifanyie utafiti zaidi, mimi huyu Gavana akifariki wazazi wangu walikua wanafanya kazi huko nakumbuka Ngara ilikua na wageni wengi walikuja msibani kutoka Dsm so I believe alizikwa Ngara. Kuhusu kujenga kwao you might be right or wrong, nyumbani kwao mpaka...
Nyie ndo mnatuharibia barabara mnatembeza magari hammalizi safari mnaacha barabara imejaa mipasuko tukija na magari yetu classic tunaishia kuvunja shaft za magari. Angalia aina ya oil unayotumia nyingine ndo hizo gari linaishia kutoa moshi tu, kama si hivyo badili gari haraka chukua chuma...
Benki ya kifala sana hii kwa sasa, wapo na huduma yao ya e-banking wanahimiza watu kujiunga ila bado wako zama za mawe hawa jamaa. Wiki jana nilitoka nje ya nchi kidogo nikataka kutuma chochote kwa familia hii "system"yao inagoma haitoi password, kutafta msaada kwao zaidi ya wiki mbili hakuna...
Anything, mention it. Matunda, mahindi, migomba, ufuta, mahindi...nk. Ni pori bado sijaweza kusafisha ila ni eneo potential sana na mto uko in less than 2km
Kwani ni lini Wakurugenzi wa Serikali hii wameanza kutumia Rav 4? Wananchi walishapiga kelele hizi V8 ziondolewe kupunguza gharama ila bado tunawaona viongozi kibao wanazo na mpya mtaani, huyu jamaa ameonewa tu kwa maneno ya mwanasiasa tena mwanasiasa mwenyewe kichwa kibovu. Hivi zile V8 za CCM...
Hapana mkuu, nilirudi nchini nikawa kwenye harakati za kulianzisha nikapata mchongo mwingine kwenda nje ya nchi tena na sioni kama bado nina ndoto hiyo maana sijajua nchini narudi lini. Nilikuwa nimekuja na baadhi ya vifaa basic vimekaa tu home kwa sasa naviuza, siku nikirudi nitaangalia...
Hii safi sana! Steps za kufuata mpaka kufanya sex :
1. Natongoza, akikataa bye, akikubali next
2. Tunakutana kujipima eneo karibu na anapoishi ili majibu yake yakimpa kiwewe mimi nasepa jirani zake watashughulika, akikataa bye, akikubali next
3. Akiwa +ve bye akiwa -ve next
5. Kazi kazini,next...
Huyu binti ni mfano halisi wa kutumika kuwafundisha dada zetu na watoto wetu wakike kutojivunia wala kuridhika na uzuri, girls are born with an expiry date, huyo ndo tayari jua limeshazama. History! Mitoto ya kike siku hizi ikishazaliwa na uzuri madreva bodaboda wakaanza kusifia na kuhonga...
Nia yangu si kufanya malumbano na wewe, haunijui na sikujui pia hivyo sina sababu yoyote kukudanganya na haininufaishi chochote. Wenye mawazo ya kujenga wamenipa na imesaidia, gari ilikuwa na faults. SIjui wewe reference yako ni gari gani lakini kwa ukubwa wa bodi ya Harrier na kama bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.