Ni Kiongozi makini sana,anayeamini kufanya kazi kama Timu,Angalia UDOM ni 2005 tu kulikuwa na Jengo Moja tu la Chimwaga sehemu zingine zote zilikuwa pori la uhakika,unaweza ukafikiria Tangu Chuo kimeanza ni watoto wangapi Wa KTZ wamesitirika na busara zake za kuanzisha chuo hicho kikubwa kuliko...
Mimi ninayo GAIA nilichukua kwa matumizi yangu,lakini kutokana na hali tete ya maisha nataka kuiuza.
Ila bei siyo 4m.kwa sababu ni mpya siyo kutoka kiwandani bali kutoka Japani,nikimaanisha hapa TZ bado haijaanza kula mzigo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.