Ukweli ni kwamba tigo wamesha shindwa kazi,haiwezekani unampigia mtu simu na simu ina salio la kutosha harafu unaambiwa huna salio la kutosha.Na tabia hii huwa inajitokeza mara kwa mara,pia masikilizano wakati wa mazungumzo huwa yanasumbua sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.