Mimi ninachotaka ni refund ya hela uliyopata. Kwanini hunilipi na kwanini umeniblock?
Tapeli yeyote anaweza weka au kujifichia kwenye hizo link.
Na mbona hukunijulisha kwa email au simu kama kuna hilo tatizo mpaka nilivyaanza kukuanika humu?!
Mkuu Salam.
Mwl.RCT amenitapeli zaidi ya laki 5 na nusu kupitia huu uzi wake kwa kisingizio cha korona, na hajanirudishia refund.
Cha ajabu mnauachia huu uzi wake Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa uendelee, na kuna watu kadhaa nimeona wakimlalamikia.
Ninaomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.