Gari Aina ya Suzuki Escudo ya Mwaka 2005, Automatic..linauzwa Shillingi Millioni 25 tu. Bei inapugua kwa alie sirias kununua. Napatikana Dar Es Salaam Namba Ya Simu 0763 512 944
Jamani watanzania inabidi tuamke kwanini wamekata wakati Tundu Lisu anahutubia??? Ni kwanini tunazibwa maskio kuskia upande mwingine???? Kwanini tunatakiwa tuskilize upande mmoja tuu??? Nimeskitika sana. Kama ni halali tuachwe tuskilizebpande zote jamani
Mbaya zaidi wanaloby maofisini staff wanashurutishwa kujiunga na vodacom whether you like or not.
Na ma afisa wetu njaa yao mnajikuta ofisi nzima mnapelekwa voda upende usipende kisa tuu kampuni inakulipia airtime kidogo. Huu wizi ni mkubwa sana ukiuanalyse
Jamani ninavoelewa JWTZ haliruhusiwi kuingilia usalama wa ndani mpaka ipate idhini ya bunge. Chukulia mfano kenya juzi walipouana ktk mapambano ya kikabila ambapo zaidi ya watu 100 walipoteza maisha baraza la mawaziri liliitwa kujadili kuingiza jeshi kwenye usalama wa ndani na baadae bunge...
Kamati ya Bunge ya mambo ya nje,ulinzi na usalama imeanza ziara ya siku 14 katika balozi za tanzania kwenye nchi za marekani, ulaya na asia kukagua namna zinavyotekeleza mambo ya sera na uchumi. Ziara ya kamati iyo inayoongozwa na mbunge wa Monduli ilitangazwa jana katika uwanja wa ndege wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.