Uchaguzi wa watumishi wa Idara ya Uhamiaji kwa kozi mbalimbali umeonesha kuna tatizo kubwa hasa baada ya Makatibu Muhtasi Grace Kivembele na Maizara yusuf Kudhaminiwa kwenda Manzini Swaziland wakati wengine wakikosa. Watumishi haohao mwaka uliopita walipelekwa Kampala Uganda kwa pesa za Serikali...
Mtandao wa utoaji vibali bandia katika mkoa wa Arusha umeingia sura mpya baada ya kinara wa shughuli hiyo kuanza kushughulikiwa na Makao makuu. Kinara huyo ambaye amekuwa akitamba kwa muda mrefu bila kuguswa kwa mbinu ya kutumia pesa nyingi na ikibidi hujitoa yeye menywe ili mambo yaishe, hivi...
Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri hivi karibuni yametoa ahueni kwa taasi za wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi na hasa Idara ya Uhamiaji na Zimamoto. Aliyekuwa Waziri wa mambo ya Ndani ya Nchi Shamsi Vuai Nahodha alisababisha matabaka ndani ya Idara hiyo hasa kwa kutoa upendeleo kwa maswahiba...
lililokuwapo ni waziri huyo kufanyia kazi taarifa zisizo rasmi alizokuwa akipelekewa na Afisa Uhamiaji mkoa wa Dar es Salaam ambazo ni za fitina majungu kwa ajili ya kutaka nafasi jambo ambalo alifanikiwa na sasa amekalia nafasi za juu baada ya kuwatoa viongozi aliowafitini. Bila woga na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.