Search results

  1. Nicas Mtei

    Kwanini Arusha, Kwanini Tanzania?

    Hivi unajua kwa nini mabomu yanalipuliwa Arusha? Unajua kuwa nchi ya Tanzania ina heshima kubwa kwa sababu ya Arusha? Na Je, wajua kuwa amani ya Tanzania inategemea zaidi amani ya Arusha? Sina maana ya kusema kwamba amani ya Tanzania imetoweka ila nashawishika kusema iko hatarini kutoweka...
  2. Nicas Mtei

    Peter Msigwa Mbunge Wa Iringa Mjini Live On EATV Jioni hii

    Leo katika kipindi cha Hot Mix katika chaneli ya EATV kutakuwa na mahojiano na Mbunge wa Iringa Mjini Mhe. Peter Msigwa..... Ni kuanzia saa kumi na moja jioni leo Tarehe 15/08/2013.... Karibuni
  3. Nicas Mtei

    IMEBAINIKA; Umbea una faida Kiafya

    Kama hujui, wanaume ni wambea zaidi ya wanawake, tofauti ni kwamba wao hawasutani hadharani! Katika jamii yoyote mtu mwenye tabia ya umbea huchukiwa, hutengwa na hata wakati mwingine hupigwa kwa kuonekana kuwa ni chanzo cha migogoro na huku viongozi wa dini wakimwona mtu wa aina hiyo kuwa ni...
  4. Nicas Mtei

    Ushauri huu unawafaa watu wote.

    Fanya juhudi za makusudi kumkimbia yoyote anayekuletea habari za mtu mwingine, tafuta marafiki wanaozungumzia maendeleo, hata ukiwa peke yako soma habari zinazokupa mtazamo na fikra mpya, epuka habari za maisha ya watu zisizo na tija katika maisha yako..
  5. Nicas Mtei

    TUSHAURIANE: Kuoa ukiwa na umri mdogo{Under 25 Years}

    Habari zenu ndugu zangu wadau wa MMU? Ni matumaini yangu kuwa wote mu wazima. Mimi nipo bukheri wa Afya. Leo ningependa tujadiliane na kushauriana kuhusu suala la vijana wa kiume kuamua kuoa katika umri mdogo. Ningependa tujadiliane mambo yafuatayo; 1-Kwanini kumekuwa na idadi ndogo ya...
  6. Nicas Mtei

    Mwaliko wa Pasaka

    S.L.P 2655770 DSM 26/03/2013. Ndg, Wadau wa ChitChat YAH: OMBI LA KUKUTEMBELEA PASSAKA Tafadhali husika na kichwa cha habari hapo juu, mimi ni ndg.yako wa karibu na ni Mtanzania halisi. NINAOMBA KUKARIBISHWA KWENYE SIKUKUU YA PASAKA,Nina uzoefu wa kula vizuri UBWABWA pasipo kudondosha...
  7. Nicas Mtei

    Usikate tamaa ndugu yangu

    Yawezekana unapita katika magumu na unaona hakuna njia tena na unakata tamaa. Umefika mahali na unasema siwezi kupata kazi tena, hii kazi siwezi tena, haya mahusiano yamenishinda, hii NDOA imenishinda, hawa watoto wamenishinda, hii shule imenishinda, siwezi kujenga, hii biashara imekufa...
  8. Nicas Mtei

    Welcome back Sweetlady... Ahsante sana DNA

    Napenda kuchukua nafasi hii kumkaribisha bibie sweetlady jukwaani.... tumetoka hospitali kufanya vipimo vya DNA(Vinasaba) na nimegundua kuwa mtoto aliyejifungua juzi sio wa nitonye ila bwana nitonye ndo alikuwa analazimishia.. nililizimika kufanya vipimo baada ya mtoto huyo kufanana nami kwa...
  9. Nicas Mtei

    Bora uendelee kuwa Mpweke kuliko kuwa na mpenzi asiyetambua thamani na maana ya penzi lako kwake

    Ogopa Sana Mtu Anayekuwa Na Wewe Kwa Sababu Haoni Chaguo Lake. Adhabu Yako Ni Kubwa Mbele Ya Safari Ingawa Unaweza Kujiona Upo Kwenye Bwawa La Asali Mwanzoni. Kiama Chako Ni Pale Atakapomuona Anayedhani Ndiye Sahihi Kwake. Utasilitiwa Upende Usipende! MAPENZI Yana Siri Kubwa. Kila Mmoja Ana...
  10. Nicas Mtei

    Mahojiano ya Bishanga na The Secretary..

    Bishanga : Sweetie otea nimekununulia zawadi gani ya birthday? The secretary : Oh jamani sweetie umeninunulia nini? Bishanga : Unakumbuka ile RAV4 uliionaga ukaipenda sana rangi yake? The secretary : Woooow honey! oh my God! Umeninunulia ile??! I luv u so much Bishanga wangu ...
  11. Nicas Mtei

    Je umeachwa? Usilie, Jipe moyo, Songa mbele

    Hali zenu ndugu zangu wa humu MMU? Natumaini kuwa wote mu wazima wa afya,Tumshukuru Mungu kwa ajili ya uzima na afya aliyotujalia. Siku ya leo napenda tuongelee suala zima la uvunjikaji wa mahusiano na nini cha kufanya baada ya kuachana.. Napenda kukushauri kuwa usiwe mpweke na usiwe mnyonge...
  12. Nicas Mtei

    Kuanza Uhusiano Mpya baada ya ule wa zamani kuvunjika: ONYO

    Vijana wengi wamejikuta katika mahusiano na hata ndoa na watu wasiowataka wala kuwapenda kwa sababu hawakujipa muda wa kuheal baada ya mahusiano ya mwanzo kuvunjika. Mara baada tu ya kuvunja mahusiano wanaanzisha mapya na mara nyingine kufunga ndoa kwa haraka wakitaka kujionyesha kwa yule...
  13. Nicas Mtei

    *Wazo La Leo tarehe 09/03/2013*

    1-Urefu na ufupi ni Majaliwa ya Mungu ila Vitambi na Mimba ni juhudi zetu wenyewe. 2-Uzee mwisho Chalinze mjini kila mtu ni Baby
  14. Nicas Mtei

    Zingatia haya wakati unatafuta mke/mume mwema

    MARA nyingi vijana hupata taabu sana katika suala la kuchagua mchumba. Vijana wa kiume ndio hasa hupata wakati mgumu zaidi kwani jamii imewapa wajibu wa kuanzisha mazungumzo yahusianayo na mapenzi. Hata hivyo, vijana wa kike nao wanao wajibu wa kuchagua ili kuhakikisha kuwa hawaanguki...
  15. Nicas Mtei

    Je mnataka kuimarisha uhusiano wenu? Fanyeni haya..

    Watu Wengi Ambao Wako Kwenye Uhusiano Wanalalamika Kuwa Wenzi Wao Hawawaoneshi Upendo Kama Ilivyokuwa Siku Za Mwanzo Za Uhusiano Wao. Wanaeleza Kuwa Wanaona Uhusiano Wao Unalegalega Na Mapenzi Yanapungua Taratibu Kama Barafu Iyeyukavyo Juani. Ili Kuepuka Yote Haya, Hauna Budi Kujifunza...
  16. Nicas Mtei

    USALITI: Je wewe ni msaliti kwa Mpenzi wako? Unapata faida gani unaposaliti?

    Habari za muda huu wadau wa JF hasa jukwaa hili la MMU? Ni matumaini yangu kuwa wengi wetu ni wazima... Kwa wale mnaoumwa au mnauguza ndugu basi nawapa pole sana najua mda si mrefu mtakuwa katika hali nzuri . Pia nawapa pole wale walioondokewa na ndugu zao wapendwa.... Mungu awape pumziko...
  17. Nicas Mtei

    Hasira au stress za pembeni; Usiruhusu zivuruge uhusiano wako... Ziweke kando!

    Habari za muda huu wadau wote wa ukurasa huu wa MMU na JF kwa ujumla? Binafsi napenda kuchukua fursa hii kumshukuru Mungu Muumba ardhi na mbingu kwa kunijaalia uzima na afya tele pamoja na furaha hapa ulimwenguni.Ninyi marafiki mmekuwa sehemu ya furaha yangu. Mungu awabariki sana kwa mara...
  18. Nicas Mtei

    Inawezekana kuendelea kuwa na furaha hata kama umeumizwa na mapenzi

    Habari zenu wapenzi wasomaji wa ukurasa huu wa MMU? Natumaini mu wazima wa afya na mnaendelea vizuri na mfungo wa Kwaresma kwa wale mnaofunga. Leo nimeona vyema Tuongee kuhusu wale waliovunjika moyo katika swala nzima la mapenzi na ni ninsi gani wanaweza kukabiliana na maumivu ya kuumizwa...
  19. Nicas Mtei

    Athari za Marafiki katika Mahusiano ya Kimapenzi

    Mu hali gani mabibi na mabwana wa humu MMU? Ni matumaini yangu kuwa wote humu mu wazima wa afya. Kwa mara nyingine leo nimeona bora tuzungumzie suala zima la athari za marafiki katika mahusiano... Katika mahusiano ya mapenzi yoyote kuna watu wanaitwa MARAFIKI. Kabla sijaendelea sana ni...
  20. Nicas Mtei

    Moyo wa kuridhika na umuhimu wake kwenye mahusiano ya kimapenzi

    Habari zenu wadau wa MMU? Kwa mara nyingine tena tunakutana katika ukurasa wetu huu wa MMU kujadili na kuangalia mbambo mbali mbali yanayotuhusu katika mapenzi. Leo tutaongea juu ya kuridhika katika mapenzi. Kila kukicha mapenzi katika maisha ya mwanadamu yamekuwa yakichukua...
Back
Top Bottom