Search results

  1. Bazenga01

    Baa Sinza zinaendelea kutokomea, Tabata kapokea kijiti kwa fujo

    Hahaha..majirani ni watu poa sana ukiwa nao ni huku mitandaoni ndio tunazinguana
  2. Bazenga01

    Baa Sinza zinaendelea kutokomea, Tabata kapokea kijiti kwa fujo

    Bar za sasahv zimeingilia majukumu ya night clubs
  3. Bazenga01

    Baa Sinza zinaendelea kutokomea, Tabata kapokea kijiti kwa fujo

    Hahaha, umenikumbusha mzee Matonya ombaomba maarufu Tz nzima, mzee Makamba mwenyewe alimnyoshea mikono juu.. mimi sikuwa naishi Nkrumah exactly ila ni stone throw away. Nilikuwa Livingston str. Sema lazma tunafahamiana. Ulikuwa darasa moja na rais wa Utopolo?? Kama ndio lazma tunafahamiana.
  4. Bazenga01

    Baa Sinza zinaendelea kutokomea, Tabata kapokea kijiti kwa fujo

    Siku nyingine ikikutokea osha kidole au mjegeje kwa bia yoyote, harufu inakata
  5. Bazenga01

    Baa Sinza zinaendelea kutokomea, Tabata kapokea kijiti kwa fujo

    Mule mule mzee.. tuendelee kuzisaka ngawira. Itapendeza sana ndoto zikitimia.
  6. Bazenga01

    Baa Sinza zinaendelea kutokomea, Tabata kapokea kijiti kwa fujo

    Hatimaye nimekutana na mwana Kisarawe mwezangu.. long time mzee.. cinema hapo Nkrumah ilikuwa ni New Chox, tizama sana movie za kihindi, movie zilikuwa na break manina😂. Tunaenda break tunarudi tena.. waaay back 🙌🏽
  7. Bazenga01

    Dalili 10 za Mwanaume anayetaka kukuoa kweli

    Vp ndoa ilitokea?? Au nije kutoa posa
  8. Bazenga01

    TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

    After your death you'll be what you were before your birth.. Safe journey Gadna
  9. Bazenga01

    Mchumba hasomeshwi, usishupaze shingo we dada na kaka yangu

    Kenge mpaka atoke damu sikioni.. watoto wa afu2 sijui kama wanamjua kenge
  10. Bazenga01

    Jina gani la Kibantu ambalo umewahi kulisikia hapa nchini likakuduwaza?

    1. Kipenda Urembo ( huyu tulisoma nae Primary School. Jina Lake ni Kipenda na la baba yake ni Urembo) 2. Kufahaidhuru (tulikutana nae eneo la kazi yeye alikuwa ofisi nyingine. Sasa sikupata kuuliza kama hilo ni jina lake pekee ake au na la baba yake)
  11. Bazenga01

    Ila biashara nyingine Sinza zinachekesha sana

    Na siku akitoboa utakuja hapa kusema jamaa ni mjenzi huru.
  12. Bazenga01

    Leo nimeondoka rasmi jijini Dar es Salaam baada ya kupata mchongo Jehanamu

    Nipe namba ya shemela Ashura nikusaidie kumtunza hadi utakapo rejea mjini Daslam
  13. Bazenga01

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Na Gwajiboi yupo zake Japenga na timu ya Rede[emoji16][emoji16]
  14. Bazenga01

    Mkoa gani mzuri wa kutembelea Tanzania?

    Asisahau kufika Ubaruku. Atanishukuru baadae
  15. Bazenga01

    Timeless club bangers ( club bangers zisizo chuja )

    Jeep, Lex coups, Bima & Benz - Lost Boyz Girlfriend- Jaymo ft Tid Hii leo - ECT . . .
  16. Bazenga01

    Ili kukilinda Kipaji cha Beki Tshabalala kinachopotea, kuanzia sasa nikimuona Kawe kwa 'Goma' lake 'nampopoa' na Mawe

    Kucheza chini ya kiwango mechi au mbili sio kesi, ukizingatia ilikuwa ugenini. Ila hata kama sababu ni hilo 'tenki' simu zipo, anaweza kuwa yupo Mgeni Nani, simu moja tu.
  17. Bazenga01

    Tulipopata GPA za upper second class and above tukutane hapa

    Wewe ndio unatafuta basha waKinyaki.. Nenda Pwani huko ndio utapata. Acha kushoboka na Wanyakyusa.
Back
Top Bottom