Hahaha, umenikumbusha mzee Matonya ombaomba maarufu Tz nzima, mzee Makamba mwenyewe alimnyoshea mikono juu.. mimi sikuwa naishi Nkrumah exactly ila ni stone throw away. Nilikuwa Livingston str. Sema lazma tunafahamiana.
Ulikuwa darasa moja na rais wa Utopolo?? Kama ndio lazma tunafahamiana.
Hatimaye nimekutana na mwana Kisarawe mwezangu.. long time mzee.. cinema hapo Nkrumah ilikuwa ni New Chox, tizama sana movie za kihindi, movie zilikuwa na break manina😂. Tunaenda break tunarudi tena.. waaay back 🙌🏽
1. Kipenda Urembo ( huyu tulisoma nae Primary School. Jina Lake ni Kipenda na la baba yake ni Urembo)
2. Kufahaidhuru (tulikutana nae eneo la kazi yeye alikuwa ofisi nyingine. Sasa sikupata kuuliza kama hilo ni jina lake pekee ake au na la baba yake)
Kucheza chini ya kiwango mechi au mbili sio kesi, ukizingatia ilikuwa ugenini.
Ila hata kama sababu ni hilo 'tenki' simu zipo, anaweza kuwa yupo Mgeni Nani, simu moja tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.