nhif wanaibiwa sana kama hawataweka system kwenye mahospital yote yanayotumia nhif ili mteja aone huduma pamoja na kiasi alichotibiwa kuliko kujazishana maform yale. mm nilienda hospital moja kutubiwa garama ni elfu 40000 sasa nikauliza naweza kuona wap kiasi nilichotumia nisignwakaniambia...
kila siku tunawambia udart sio kampuni binafsi ni kampuni ya msajili wa hazina asilimia 85 na simon group asilimia 15 ni public company ndio maana unaona wanakomaa kutafuta mbia binafsi ili anunue magari serikali haifanyi biashara inatoa huduma ndio maana wamekwama kununua mabasi mpyaaa kwa...
humu naona watu mnachanganya mafaili mara wengine DART mara wengine UDARTebu someni hapa
DART- dar es salaam rapid transit agency ni wakala wa serikali katika mradi wa mabasi yaendayo haraka jukum lake kuu ni kundeleza mifumo ya BRT na kuajiri watoa huduma watakaohudumia mwendokasi akiwepo...
pamoja na ushauri mzuri lkn bado watu wanashindwa kutofautisha kati ya UDART na DART ivi ni vitu viwili tofaut vilivyopo kwenywe mradi wa mwendokasi, alieteuliwa ivi majuzi sio mkurugenzi wa DART ni wa UDART
point ni bora kama mtu amesoma sayansi aende zake chuo akasome diploma ya phermacy aje akafanye baishara au akodishe cheti duka la madawa, au akasome clinical medicin, nersing
tofaut na apo ni kupoteza muda
ndio maana yake mkuu UDART ni kampuni ya uma yaan ipo chini ya msajili wa hazina, ivyo imekua ngumu kumtoa ili awekwe mbia mwingne maana shida ni magari na mwenye magari ni udart kutoka imekua ngumu.
DART wanasimamia mwendokasi lkn wameshindwa kumtoa UDART sababu ni kampuni ya uma wanabaki...
umeongea kitu cha muhimu sana magari ya mbezi ,kibaha yatolewe yaje yasaidie yanayopita mfumo wa BRT maana kuongeza magari imekua anasa
kumtoa udart sababu hakidhi vigezo imekua mtihani.
Bila DART kuongeza mbia mwingne wakurugenzi watendaji watabadilishwa sana maana UDART( kampuni ya msajili...
soma hapa kijana utaona ni UDART PLC ( public limited company) yaan kampuni ua umma wewe unasema eti binafsi unajua maana ya PLC kasome istoria yake kwenye website yao
unajichanganya ufafanuzi wa UDART umebolonga ebu google basi uone kama sio public limited company (UDART PLC)
umiliki ni
serikali asilimi 85( msajili wa hazina)
saimon group ni asilimia 15
narudia udart sio kampuni binafsi ni kampuni ya uma ilikua binafsi kabla ya kisena hajashtakiwa saimoni...
kabla ya mhede alikuwepo lwakatale na baada ya lwakatale kutenguliwa na waziri mkuu mhede alikuja akijua shida ni mabasi lkn mpaka na yeye anatenguliwa hakuna hata basi moja lililoongezeka.
ngoja nikupe mchanganuo iko ivi miundombinu yote ya BRT,barabara, majengo ipo chini ya DART( wakala wa serikali wa mabasi yaendayo haraka ) ambae ndio anawapa mikataba makampuni yanayptoa huduma kwenye mwendokasi kama CT ( ulinzi), FOA plan (usafi) na UDART (magari na kukusanya mapato) shida...
nani kakudanganya mabasi ni mali ya UDART ambayo ni kampuni ipo chini ya msajili wa hazina asilimia 85 na saiiimon group asilimia 15 unataka kuniambia ni private iyo, wakati serikali inamilikia asilimia 85 na ndio maana hawataki kutoka wamuachie mtu binafsi sababu ya madeni ya benk ya dunia kila...
uliza mtu unaemfaham aliepita TRA akueleze anakaguliwa kwa namna gani ili aingizwe kwenye payroll jambo usilolojua ni kama usiku wa giza l, usifikili nafasi za TRA ni kama wale walimu au manesi wanaopangiwa kishapu, tqndaimba,kwimba na wanaenda tu kwa wakurugenzi kureport
BOT uliishaona wanaofanyisha usahili ni PSRS(utumishi) au uliishaona majina ya kuitwa kazini kwa BOT kila taasisi inataratibu zake taasisi za kifedha ni kama usalama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.