Ni hatari sana aisee!! Nimelelewa nikifahamu mwanaume ndio mtawala wa kila kitu, lakini leo nashangaa kuona wanaume ndio wa kwanza kulia na kulalamika hovyo kuliko wanawake.
Leo badala ya mwanaume awe ndo mwenye kumua uelekeo wa mahusiano ,eti yeye ndo anatafuta kushauriwa afanyeje.
Mara ooh...
Mmmh! Pole sana ndugu yangu!
Mpende akupendaye( sijui nani aliisema hii).
Kaka hapo utaumiza moyo bure na utapoteza nguvu, mda na mafanikio ambayo umehangaika nayo muda wote kwa kipanga kama huyo !! huyo anaonyesha ni kiruka njia mzoefu hawezi kubanwa kwenye ndoa bana!
Cha msingi we piga moyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.