Kuna mnazungunza kwa mihemko na uvyama kosa Assad nini kuwa muwazi Nani wa kusimama kupinga kauli ya Rais alie madarakani...Kwa kuwa sasa unajitetegemea wakati unaishi kwenu na wazazi wako ulikuwa unaweza kusimama nakujibishana na wazazi wako kwenye himaya yao??? Kijibu kwa kutafakari sio...
Wadau napenda kuwakaribisha katika group letu la Biashara na Wajasiriamali la Tangaza Business Solutions uze na kununua hitaji lako kwa bei nafuu group lina miaka 5 mpaka sasa hivi jiunge utengeze wigo wa biashara zako na kufahamiana na watu zaidi.
Group lina jumla watu 200 kujiuna ni 3000 tu...
Mkuu usipaniki we kama nia yako kweli nikumrudishia muhusika fanya hivyo ila usipige mkwara nakusema eti utakuwa humrudishii
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono 100% usimuamini mwanamke haswa mchumba tu mi hata mke si muamini sembuse mchumba yametukuta wenzio tunakukingia kifua kama mwanamme mwenzetu ni hayo mi mpita njia
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.