Hata kama hawana elim kifunguliwa kiwanda cha mbolea c bado watapata ajira kupitia kilimo kwan mbolea itashuka bei na hivyo kuongeza tija ktk kilimo. Hata kama wangesoma hawataajiriwa wote. Kwa hiyo mh naunga madai ya viwanda mkono
Nawashangaa ccm kutaka mgombea binafsi wakati walitumia pesa nyingi na muda mwingi kupambana na Mtikila ss hivi ni nini wamekigundua hivi wale majaji pamoja na walioitwa marafiki wa mahakama kumbe walikuwa wanachezea kodi za Wtz inshalah mungu yupo
We kuz kwel mtu kakamatwa na madawa ya kulevya kule china baba yake akawahonga wachina GESI bado unasema c o fisadi kama umetumwa kutetea mafisadi mwisho wenu unakuja
Kama ushirikina una faida basi hata viongozi wakiugua waende kutibiwa kwa waganga na c o kwenda kutibiwa Ulaya kwn wanamaliza pesa halafu linapokuja suala la uchaguzi wanaleta utabiri mbona hawakumzuia NYERERE asife au mbona shekh yahaya hakujizuia asife?
Ingekuwa treni ni za watu binafsi bac usingeona malori barabarani maana treni inabeba mzigo mkubwa na kwa bei chee lakini kwa kuwa treni ni za serikali ndio maana zinahujumiwa ila iko siku MUNGU ataondoa haya mateso kwn kila jambo lina mwisho wake
Sawa mkuu ila mimi najua Mbatia nimwanasheria wa chadema na isitoshe mawakili wa cdm wanao ngoza kwa kushinda kesi nyingi halafu hapa kuna harufu ya magamba
Nimesoma kwenye gazeti la Tanzania daima jinsi kijana wawatu ambae ni raia wa Kenya anavyoteseka mahabusu kwa kusingiziwa ndie aliemteka Dr Ulimboka na kumtesa kitu ambacho sio kweli.Ss mm roho inaniuma maana serekali kwakuwa wanajua walichokifanya wanapiga danadana wakati kijana wa watu...
Cha kufanya aongeze bidii ili asije kuwa kama SPESIOZA KAZIBWE aliewahi kuwa makam wa rais wa Uganda leo hasikiki anatakiwa akaze kama WANGARI MATHAI wa Kenya japo amekufa lakini bado atakumbukwa kwa ujasiri wake wa kutetea msitu wa ngong
Katika mtaa wetu tuna tatizo kubwa la maji tangu tupate uhuru hatuna maji. Wananchi tulio mrengo wa CHADEMA tukaamua tuchange pesa ili tulete maji na wananchi wote wa mtaa wakakubali mchango ulikuwa sh 50000 kila m2. Mwkt kuona hivyo kaweka veto oh anasema hajashirikishwa wakati yeye ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.