Sijui hata kama umeelewa alichoandika barafu. Umetoka mbio kutetea upuuzi kwa jina la lockdown. Umekaririshwa na wewe ukakariri lockdown.
Barafu anaongelea ukosefu wa protective gears (PPE) kwa wahudumu unaopelekea nao waambukizwe au wawakwepe wagonjwa. Anaongelea udhaifu wa vituo...
Nimeona mjadala kuhusu wapi aliko Rais. Makamu wa Rais, Zanzibar na kabla ya juzi Waziri Mkuu
Watu wanahoji kama viongozi hawa ni busara kuikimbia Ikulu kipindi hiki.
Nipanue mjadala nami nihoji aliko Katibu Mkuu wa CCM, Makamu Mwenyekiti tuliambiwa mgonjwa, sawa. Yuko wapi Katibu wa Itikadi...
Paskali ni kipaza sauti cha ukweli wa the economics. Unajidai uko upande wa serikali lakini unasapoti kilichoandikwa kwa style fulani hivi. aibu yako ni kujificha kwenye mabawa ya serikali unasema uongo wa economics na ukishauri wachukuliwe hatua eti kwa nini wanaogopwa.
Mwandishi wa habari wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.