Wanyarwanda wanapenda mchele asikwambie mtu maana wao kupika ugali ni tizi kubwa kwao. Mchele hupenda kuuita mcheli. Wataagiza kutoka VIETNAM na kwingineko ila DSM port hawaikwepi. Tozo za hapo atakazobambikwa atarudi tuuu kununua mchele wa tz other wise atulize msondo tuuu
Watanzania kuna vita kubwa ya kiuchumi ni Rwanda. Take it from me kama PK ataitwaa NORD AND SURD KIVU basi the whole AFRICA itaitegemea RWANDA kwa chakula na Nishati na materials nyingi sana za viwandani. That area is very potential kwa kila kitu.
Vin na radrygo wakialternate kushoto kulia kulia kushoto modric akiwa katika master piece yake kupiga long passes japo sina uhakika kama atauweza mziki wa viungo wa cityzens. Ikiwa ivo tumetinga fainali
Cityzenz naona ni toughest opponent wetu kwa sasa. Makosa ya last season tusiyarudie. Tucheze long passes tutamaliza game mapema. Ila tukikosea tukacheza shortpasses tumeisha kama last season.
I watched the game last night aseee kaa hivi ndo tunacheza aseee tlikuwa very weak. Kama vile tulikuwa ugenini. Nilifikiri kwenye robo au nusu fainali tupewe cityzens tumalizane nao ila napata wasi wasi mkubwa.
Hapa nimegundua vitu kadhaaa.
1. Spanish la liga tunaitaka sana tena sana.
2. Ucl...
Nasoma sasa kitabu cha PR. PAUL SEMBA kinaitwa UFUNGUO WA NDOA.
Mtunzi wa kitabu anasema kama kijana wa kiume au wa kike hawezi kujihudumia mahitaji yake ya msinginya kila siku yeye mwenyewe basi hatoshi kabisa kuowa wala kuolewa hadi atakapoweza kujihudumia mwenyewe.
Kwa paragraph hiii PR PAUL...
Shida ilianza paleeeeee penye kuowa wanawake zaidi ya mmoja. Ukweli ni kwamba hayupo mwanamke anapenda waolewe wawilinau zaidi kwa mwanamme mmoja. Ni basi tuu sheria za kidini au za ki mila ndo zimewabana kama ni mamlaka yao wangefuta iyo sheria.
Naongezea tuu kwamba hata kepa wakati anauzwa toka BILIBAO kwenda CHELSEA ndo nikaona kwamba clubs nyingi za spain hasa giants wengi ni antimadrid. Buyout clause ilifutwa usiku wa manane ili kepa auzwe chelsea asiende madrid.
Nawakumbusha tuu DG wa TISS wa sasa amewahi kuwa balozi wa tz huko rwanda licha ya hati zake za utambulisho kukataliwa several times ila mwishowe wakampokea
Unauhakika kule msumbiji yupo peke yake????? Take it from me. I went there several times. Rdf kule msumbiji eneo la waasi kapewa kufanya majukumu ya kipolisi tuu. Mengine ni kujioosha tuu mitandaoni
Ikiwa Congo Dr itamegwa na Kivu ikajitenga basi ushawishi kijeshi na kiuchumi wa Tanzania hapa East Africa utapungua kama sio kuisha kabisa. Natamani kumwona Samia ana declare FULL SCALE war na mamluki wa RDF waliopo Congo DR.
Hii haiwezekani kabisa. Hata PK jeshi lake top officers wahutu ni wachache mno. Na siku zijazo hata junior staffs jeshini kutakosekana mhutu hata mmoja. Mark my words.
Kuruhusu banyamulenge kwenye jeshi la FARDC ni sawa na kumruhusu KINANA kuwa KATIBU MKUU CHADEMA
Pk akidondoshwa CONGO DR itapata kutulia. Shida sio WATUTSI kwa sababu hata BURUNDI watutsi wapo na kwa kiasi fulani amani ipo. Japo watutsi wana kasumba zao za kujiona wao ni wateule kuliko wengine. Nimeishi nao hawa jamaa wana kakujisikia mno. Hilo nalo ni tatizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.