Search results

  1. C

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Kaka Nyalotsi, Mbali na kumjua Dr Kigwangalla kama mwanaCCM na 'mfia chama' kuna namna nyingine yoyote ile unayomjua? Kama haumjui vizuri naomba nikuambie kuwa Dr Kigwangalla ni mtu wa aina gani: 1. Ni msomi mwenye elimu ya digrii nne, na zote kali tu. Amesoma PhD kwenye mambo ya Afya ya...
  2. C

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Mkuu Peter Dafi, La shule hatuna shaka nalo, la uwezo hatuna shaka nalo. Kwa kigezo cha shule tu, Dr Kigwangalla anawaacha mbali masuper-star vijana wenzake kwenye siasa za CCM. Uzoefu ungeweza kumwangusha, kama mamlaka ya uteuzi itahitaji mtu wa aina hiyo, maana yeye amekuwa Mwenyekiti wa...
  3. C

    Uchaguzi Mkuu Umepita, Sasa Kazi Tu!

    Ni ngumu sana kudhani kuwa kutakuwa na kampeni ambazo upande mmoja hauzitumii ipasavyo weaknesses za upande wa pili. Maana hiyo ndiyo essence ya kampeni haswa - kuuza sera zako nzuri na kumbomoa adui kwa kuonyesha namna ambavyo hawezi kutengeneza mikakati mizuri ya kuwaletea maendeleo ama kuisimamia
  4. C

    Uchaguzi Mkuu Umepita, Sasa Kazi Tu!

    Mkuu zungu pule, nimevutiwa na mchango wako na aidi na slogan yako uliyoweka kama nukuu ya Obama kule chini...nadhani ndiyo jibu la mheshimiwa kama atarudi tena kukusoma na kukujibu
  5. C

    Tujiulize Pamoja! Ni Coincidence au MUNGU Ameongea?

    le mburulaz...hahhaahahha
  6. C

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Mtu yeyote yule mwenye uwezo wa kuchambua mambo anafaa kuwa waziri mkuu, na siyo lazima awe mwanasheria, maana kuna ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali ina jukumu la kumsaidia kama kuna issues za kisheria za kushughulikia. Mtu mchambuzi na mwenye uwezo wa juu wa kujenga hoja na uthubutu...
  7. C

    Uteuzi Waziri Mkuu mtihani mkubwa kwa Rais na chama chake

    Mukulu anapenda kufanya kazi na watu wenye umri wa chini yake, hivyo usishangae kati ya hawa mayoung stars wa siasa za CCM wa sasa, yaani akina Mwigulu, Kigwangalla na Makamba, mmoja wao akawa Waziri Mkuu wa Tanzania ya Magufuli!
  8. C

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Dr. Hamisi Kigwangalla for Prime Minister Kama kigezo ni ujana, usomi, upya, weledi na ubunifu...hakika huyu anatosha!
  9. C

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Dr. Hamis Kigwangalla for Prime Minister Kwanza nikiri kusema kuwa siku zote nimekuwa mshabiki wa Dr Kigwangalla. Nina sababu. Huyu kijana haeleweki kwenye macho ya watu wanaomuangalia juu juu na kwa haraka kwa sababu anafanya mambo yake kwa hekima, busara na weledi wa hali ya juu, kwa hakika...
  10. C

    Hii Ndiyo Tano Bora ya CCM

    Mtu awe Rais halafu akose sifa ya kuwa Mwenyekiti wa Chama? Kwani kuna nini cha ajabu kwenye Chama???
  11. C

    Masikini Hamis Kigwangalla, Akosa wadhamini 450 nchi nzima

    Kwa mujibu wa taarifa za timu yake ya kampeni inayojiita 'Citizens For Kigwangalla', Hamis Kigwangalla amezunguka mikoa 20 na amepata wadhamini 41,389, japokuwa amewasilisha fomu yake ikiwa na wadhamini 45 kwa kila mkoa, hivyo jumla amewasilisha fomu ikiwa na wadhamini 900. Kama watu wasomi...
  12. C

    Updates: Mdahalo wa Wagombea Urais CCM - Julai 05, 2015 via Star TV

    Kwa jinsi nilivyotazama mdahalo wa jana: 1. Januari makamba ni mtu mwenye dharau sana 2. mwigulu nchemba ana calibre ya kuwa waziri - urais bado, kuna mambo mengi ana changanya changanya 3. hamis kigwangalla ana akili nyingi sana - urais bado sana, hajawa maarufu na haeleweki haraka haraka...
  13. C

    Foleni ya Ikulu

  14. C

    Urais 2015: Nimjuavyo Dk Hamisi Kigwangalla na Uchambuzi Hafifu wa Julius Mtatiro!

    Urais 2015: Nimjuavyo Dk Hamisi Kigwangalla na Uchambuzi Hafifu wa Julius Mtatiro Mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi. CCM ni chama chenye nafasi kubwa kwenye kutoa viongozi wengi zaidi kuliko chama kingine chochote. Kwenye nafasi ya Urais, ni wazi kabisa vyama vyote vinajua haviko tayari...
  15. C

    Kigwanomics ni Tumaini la Tanzania ijayo: Turufu ya Siasa Mpya za Kizazi Kipya

    ndg Mchambuzi, umenukuliwa na Kigwangalla kwenye kitabu chake. Kuna mahala anaelezea mabadiliko kutokea ndani na kundi lingine la watu likipigia chapuo kuhusu mabadiliko kutokea nje ya mfumo. Na hapo ameitaja Jamii Forums na baadhi ya wachangiaji mahiri kama Mchambuzi. Jipatie nakala yako usome...
  16. C

    Kigwanomics ni Tumaini la Tanzania ijayo: Turufu ya Siasa Mpya za Kizazi Kipya

    Siku za hivi karibuni tumeshuhudia aina mpya ya wanasiasa wanaofanya siasa ya kutazama mbali. Tumeshuhudia January Makamba akitoa kitabu chake, mara Zitto Kabwe na sasa Kitabu kipya kutoka kwa wanasiasa kimetungwa na kuchapishwa na Dr. Hamisi Kigwangalla, ambaye ni Mbunge wa Nzega na Mwenyekiti...
  17. C

    Kigwangalla afunika Bungeni

    Hotuba aliyoitoa jana mwenyekiti wa kamati ya TAMISEMI hapa mjini Dodoma imefunika Bunge kumfanya Kigwangalla awe shujaa wa wakati mpaka sasa hakuna aliyemfikia. Ameweza kukonga nyoyo za watu sana haswa pale alipozungumzia kubana matumizi kwa kutaka serikali ipunguzwe saizi. Na pale...
  18. C

    Kigwangalla aagiza mabasi yaendayo haraka Dar es salaam, atishia kumfukuza mtaalam mshauri kazi

    Leo kawenye kikao cha kamati ya TAMISEMI, mh Kigwangalla, ambaye ni mwenyekiti wa kamati hiyo ameng'aka alipokuwa akihoji kwa nini BRT haianzi kazi wakati kamati iliagiza miezi sita iliyopita kuwa mchakato wa kuwapata waendeshaji wazawa kwa ajili ya interim service uanze haraka ili kufikia mwezi...
  19. C

    Je, Ni Kweli Dk Hamisi Kigwangalla Kugombea Urais 2015?

    Go Kigwangalla...nimesoma profile yako...nadhani tunapaswa tukutazame kwa jicho tofauti kidogo!
Back
Top Bottom