UKIFUATILIA HUU UZI UTAGUNDUA WALIOFUATA VYETI CHUONI ILI WAPATE AJIRA NI WABISHI TU. SIKUSUDII KUMPINGA YEYOTE BALI NAKUSUDIA KUWAKUMBUSHA WALE WANAOKASHIFU BILA KUTAFUTA MANTIKI HIYO SIO ELIMU. ELIMU NI KUKITIA CHANGAMOTO KILE ULICHOAMINI UNAKIJUA. NJE YA MFUMO WA ELIMU KUNA CONCIPIRACY...
KUNA VITOTO VIJINGA SANA HUMU. SASA ALIYEKUWA VITANI ANAELEZA HALAFU KITOTO KILICHOVAA PAMPASI KINAJIFANYA KIJUAJI. HALAFU VITOTO VYA KIUME VISHOGA NDIO VINADAI VITA HAIKUWA NA UMUHIMU. UNAJUA HAVIJAWAHI KUCHUKULIWA DEMU. MWANAUME ALIYEPORWA DEMU WAKE NDIYE ANAJUA UMUHIMU WA KUMPAMBANIA. SASA...
Kaka achana na huyu bwege. Huyu ndio vile vi-Tiss huwa vinajitangaza mitaani kumbe Ni vitaahira tu. Kimsingi hajui anachokupinga ila anatafuta Kiki lakini kumbe Ana ji-expose alivyo mweupe kichwani. Bro I know it takes a hell of brain and resources kutuandalia hizi Makala Tena for free. Just...
Nadhani Kuna mijadala tusiukwepe Kama great thinkers.
1. Muandishi amekosea kusema tungekuwa wiped kabisa. Kuua race fulani sio rahisi.
2. Kukua kwa Nguvu (empire) Ni utashi ambao unasukumwa na hamu ya maendeleo ambayo sisi weusi hatuna
3. Historia ya ZAMANI ya Africa inabeba sehemu ndogo ya...
Kuna mambo mengi hatuyajui. Hata ukifuatilia science imejaa codes kibao. Life is about codes. Njia pekee isiyo na codes ni kuacha dhambi. Kuishi kwa upendo na Amani.
Muandishi ukisema dhambi ni Nyoka kumuwema amber rutty Eva utakosea sana.
1. Mungu hakuzuia Adamu asigonge utamu. Sasa kama Bible...
Nilifika Bukoba nikaambiwasukari yote ya huko anaimiliki yeye. Kifupi anaweza kununua sukari yote kabla haijazalishwa. Anauwezo wa kuihold kiwandani na akatumia advantage ya scarce kuimport kwa kuwa tena yeye ndiye importer MKUBWA zaidi. Take it positively nawewe utafanikiwa.
Wakuu Habari.
Najua huku kuna ma-expert wengi. Nataka kufungua TV station.
1. Nahitaji vifaa gani?
2. Gharama yake ikoje?
3. Kujiunga kwenye makampuni e.g Star times gharama zikoje?
4. Je? Nikitaka Mimi niwe free yaani hata kama mteja hajalipa nionekane utaratibu ukoje?
5. Kurusha kwenye...
Nenda "thepiratebay.org ndiko chimbo kuu. Huko utapata na zaidi. Ni vema machine yako iwe na utorrent nenda Google no free. Torrent sites ndiko utapata kwingine ni matangazo tu. Torrent site ingine kuu ni "kikass"
Dah! Hii ajali imekuwa mbaya kabisa. Waandishi wawili wa kujitolea kwa wakati mmoja kukosekana? Hii ni sabotage[emoji23][emoji23]. Kuna watu hawapendi tufurahi[emoji22][emoji22][emoji22]. Mungu wajalie Neema yako hawa binadamu wako. Japo wanajitolea, kwa unyenyekevu wamalizie tu kurasa...
No, kwa mfano vitabu vyote vinaeleza kwamba willy Gamba ni mpelelezi maarufu sana kwa kiwango ambacho wananchi wanajivunia. Ila tu, hawamjui huyo willy Gamba ni yupi. The same to Joram Kiango. Siamini wala sijawahi kusikia famous Agents wa CIA, BOSS, KGB, MOSAD nje ya wadau wa mambo hayo.
Kuna uongo wa A.E. Musiba na Ben Mtobwa huwa siukubali. Tokea nizaliwe sijawahi kusikia MTU wa usalama ni maarufu. Sijui walitoa wapi hiyo idea ya kuwafanya wapelezi ni vipenzi vya jamii wakati kimsingi hata hatuijui TISS
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.