Matayo 7:6
6 “Msiwape mbwa vitu vitakatifu; na msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe wasije wakazikanyaga kanyaga na halafu wawageukie na kuwashambulia.”
Dah!
Sent using Jamii Forums mobile app
Atafutwa kazi lakini sio kwasababu Waziri kaagiza afutwe isipokuwa kwa makosa aliyotenda....kwa maana Waziri sio Mamlaka yake ya Nidhamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu kwa maelezo yako. Nimeweka picha ili iwe rahisi kurejea ninachozungumzia. Picha niliyoweka ni 3sge ambayo naamini ni RS200. Sasa naomba kujua kama engine kama hii zinaweza zisiingiliane coils? Maana zote zinafungwa kwenye Altezza ambapo nikitoa coils huku nikaweka kule hazikubali.
Wakuu,
Nimekutana na changamoto hii kwa mara ya kwanza. Coil za engine tajwa hapo juu zimetolewa katika engine kama hiyo tuite Engine A zikawekwa katka engine nyingine kama hiyo tuite Engine B.
Chakushangaza katika Engine B hazifiti, yaani fupi kiasi kwa hyo hazichomi vizuri, wakati zimetolewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.