Search results

  1. mamLook

    Vipuri feki upande wa simu ni vingi nchini

    [emoji3][emoji3][emoji3]
  2. mamLook

    Unajiunga na kifurushi gani kwasasa?

    Zantel 3,000 unapata 1.3GB kwa wiki
  3. mamLook

    Jokate: Kila jambo na wakati wake

    Duh [emoji3166]
  4. mamLook

    Kampuni ya Simu ya Xiaomi yafungua ofisi zake Tanzania?

    but wana toleo wanaliita 'Global ROM' Model hizi ni universal popote dunia For information: Nairobi tayar wamefungua Mi-Shop ambapo ina simu latest kabisa
  5. mamLook

    Hivi kwanini wasomi wanakuwa na roho mbaya kuliko watu ambao sio wasomi

    roho mbaya haina mtu aalumu ukiona msomi wa ngazi uliyotaja ana roho mbaya, elewa kua huyo amesoma kufaulu mtihan wa academics tu, na hakupata maarifa mapana ya elimu aliyoisomea. yapo matukio ya mtu wa ngazi ya chini kielimu na kihadhi, anamshinda ustaarabu/kujali/kujitambua zaid kuliko aliesoma.
  6. mamLook

    Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    mtabaki na labda Sent from my SM-G935F using Tapatalk
  7. mamLook

    Usafiri wa daladala ni kipimo cha kiwango cha roho mbaya cha wakinamama na wadada

    ukarimu ni maumbile, ukimpa wepes ndugu yako mwenye shida, roho yako inakua nyepesi na kufarijika dawa ya moto ni maji na sio moto dawa ya kufanyiwa roho mbaya, ni kutenda ihsani na kukunjua nafsi, wadada someni kdg kdg mutafika comments za Wamama na wadada kunasibishwa Uroho mbaya ni kashfa...
  8. mamLook

    Akija mwingereza kiziwi Dar es Salaam anaweza kudhani Lugha ya Jiji hadi Uswazi ni Kiingereza

    Tanzania lugha rasmi ni Kiswahili, lugha ya taifa pia ni Kiswahili
  9. mamLook

    Wakuu kuangalia unadaiwa sh ngap makosa ya barabaran unafanyaje

    tafadhali fuata link hii, weka no ya gari au Driving License utaona makosa yaliopo na reference number za kulipa TMS CHECK -thanx
  10. mamLook

    Wanawake na magari

    Kashfa ya reja reja
  11. mamLook

    Elimu ya bure kuhusu Azam TV

    Thank you
Back
Top Bottom