Issa bin marium (yesu) Ni alfa na omega ..Mungu wa miungu,njia ya uzima na kweli...Mhukumu wa walimwengu...yeyote amwaminiye hata potea bali atapata uzima wa milele.
FIKA KWA MWANASHERIA(ADVOCATE). MUELEZEE NA TARATIBU ZOTE ATAKUPA
Kamwe usije nunua eneo kwa kuandikishana kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa au Kijiji au mtendaji. UTATAPELIWA, hawa watu hawana mamlaka katika hilo.
Kawaida katika kiapo mkristo ANAAPA na mwislamu ANATHIBITISHA...
Hii ni mwamujibu wa sheria ya viapo na matamko ya kisheria RE.2019.
Kwahiyo kama Bashiru ni muislam ni SAHIHI yeye kuthibitisha na si kuapa.
Nimapema sana kutabri ushindi..wapiga kula wengi wapo vijijini..na watu wa vijijini kama unavyo wajua..siku zote hubadili matokeo kuwa mazuri au mabaya.
Kama hauna access na What's app, youtube,facebook etc fanya yafuatayo.
1.Download EASY VPN APK unlimited kutoka google search au store yoyote ile mfano APK pure
2. Ukifungua file utaiona inalangi ya kijani na icon ya tembo.
3Ili uwezekuinatal itakulazim kuruhusu application from other sources...
ZITO ZUBERI KABWE kwangu mimi ni mwanasiasa Mwenye akili nyingi zilizo kosa uzalendo na badala yake zikajawa na tamaa na upotoshaji.
Nimekua nikifuatilia siasa za Zitto toka akiwa CHADEMA mpaka sasa ..leo hii nitatoa UTABIRI WANGU wa KIMAWAZO juu ya alichokipanga kukifanya katika siasa za mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.