Kipindi najiunga jf,jukwaa la siasa ndo lilinifanya nikajiunga!
Ila mambo km haya ,nikaona napata stress bure wakati wengine wanakula Bata Kwa Hela za Kodi
Mi ni mdada ila napingana na ww
Alooo Wamasai wazuri aisee,imagine wako na para very natural ila wazuri...
Unawaona wabaya sbb ya mazingira Yao,na vile hawana Muda na mambo ya urembo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.