Haishambuliwi inahimizwa ifanye kweli,wanachama wanapoyea wanapigwa kwenye viyuo,wanapigwa risasi ,wanababikizwa kesi , viongozi wa CDM mpo wapi,mnafanya nini?
Nini kilifanyika RIO DE JENEIRO ni maandamano yaliyoitaka serikali itoe tamko na kuwawajibisha waliohusika,nyinyi kubwa kuwaita...
Kuwa na serikali niupande wa pili wa shilingi,maandamano yalipangwa au hayakupangwa.Je yalifanyika,jawabu yalipangwa na yalifanyika,
Tunataka kuona yanayotamkwa na kupangwa na CDM yanafanyika vinginevyo mtakuwa hamfai ,mupomupo tu mkila ruzuku na kuwababaisha wananch,mnashindwa kuwajengea...
Wameshakomesha si unaona hakuna malalamiko hakuna polisi kuvamia,haluna wale janjaweeds aka mazombi,wanasubiri huko kwenu waone hayo maandamano mliyoyapanga mtaweza au domo nyumba maneno,CUF walitangaza maandamano na yalianyika na purukushani zilionekanana na kusikika dunia nzima.sasa kazi kwenu...
Niliona ajabu pale mitaa ya Muheza mkoani Tanga, mabibi wauza maembe yaliowiva aina viringe na embe nyonyo wakiwakimbia mgambo na mfanyakazi wa TRA, waliokuwa wanaulizia kama wamelipa kodi na wanazo mashine za kutoa risiti, fahamu fungu la embe ni shilingi mia tatu, maembe matano na nyongeza...
Ni ushauri wa bure na wakiungwana kabisa kabisa,
Tokea uingie madarakani nchi imekumbwa na mambo ya kutisha sana,hali ambayo haijawahi kutokea katika hostoria ya Taifa hili la Tanzania.
Nia na madhumuni yako wengi tunayaona na hayana shaka kuwa unataka kuijenga Tanzania yenye maendeleo na...
Nilisikia kuwa Makonda ameteka kituo cha redio,ibasi hapohapo nikasema kishapindua serikali ,kwa maana nimezoea kusikia wanaofanya mapinduzi huwa wanateka vituo vya redio,baadae tena ndio nikapata kilichojiri,ila nilistuka sana na kusema sasa kazi,na angechemsha akatangaza amefanya mapinduzi...
Hii ni tabu inayosababishwa na Tume za Uchaguzi ,kutokuwa huru,kuna hatari makelele yakizidi Raisi akasema na kuwambia wananchi kuwa sio waliomuwekamadarakani ,imetimia mara mbili Raisi kuwatisha wabunge haswa waCCM kuwa,wakimjaribu atalivunja bunge halafu waone kama watarudi tena bungeni, nina...
Usanii k atika ubora wake,inakuwaje mtu anakuwa na evidence zote za ushuhuda ? Je alijua kama mwananchi fulani ataulizaga,na ataulizia jambo fulani ? Serikali ya CCM acheni kuzuga wananchi.
Mikutano ya Makonda haina tofauti na ze comedy ,inaburudisha sana sana.Ni michezo ya kuigiza na...
Alievaa kofia nyekundu anasomeka kama ni kibaka mnafiki.
Nilijua zamani kama huyu ni pandikizi,ila tulikwenda nae,tunamwambie aondoke kwenye ofisi kwa salama na amani.
La si hivyo tutampigia kelele za paka mwizi na hapo ndio ataonja joto ya ngangari.
Siku vijana watakapoamua kumtolea uvivu...
Naomba nieleweke vizuri sana,kule Zanzibar majuzi Mheshimiwa Maagufuli alipofanya ziara maalum ,alimpongeza Sheni kwa kushinda kwa asilimia kubwaa na kumlaumu kuwaingiza wapinzani katika serikali yake,yeye Magufuli alidai katika mkutano huo kuwa alishinda kwa asilimia ndogo na hakumuingiza mtu...
Ili haki itendeke ni kwa jeshi la Polisi kumwita huyu Waziri aliesemekana amevaa uniform za jeshi la polisi ,ili ahojowe kama ambavyo imetokea na kutekelezwa na jeshi la polisi kwa genge la Ze comedy.
Waziri Mwigulu angalau angekuwa waziri wa Ulinzi kidogo ingekuwepo rangi,lakini kwa Waziri wa...
1) Kama Mheshimiwa magufuli asingezuia mikutano ya vyama vya siasa kwa kweli angekuwa amevibana sana vyama hivyo,amevipa njia ya kutokea.
2) Kama Mheshimiwa na wengine wangeacha tabia ya kutumia vyombo vya dola kama silaha ya kuhalalisha yale yanayoenda kinyume na katiba na haki za binadamu...
Ukiangalia sasa polisi wameanza kuvuka mipaka ,hivi ni kweli Mheshimiwa Magufuli alizuia mikutano ya siasa na polisi ndio wanaifanyia kazzi kauli hio ?
Mheshimiwa magufuli assipoangalia Jeshi la polisi litamtosa pabaya na ndio tulipofikia ,polisi hawaonekani katika kusuia kwa maana malalamiko...
Sishangai akija kusema hela ya matayarisho kwanini isitumike kujenga madawati na kuanza kujengea madarasa ! Nawona mumetumia ela nyingi sana wakati mwenyekiti anajulikana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.