Kwani huko alikoenda amelisaidia nini Taifa ili Tukampokee hata kichama sidhani kama hiyo safari ina msaada hadi twende Airport eti tukampokee... NONSENsE!!
Mh Mbowe ampa msajili wa vyama mtihani amtaka asemee kitendo cha CCM kutumia zaidi ya milioni 220 katika uchaguzi wa mbunge aliye pendekezwa kupeperusha bendera ya CCM. asema CHADEMA imetumia milioni 6 na laki mbili.
Aonya jeshi la polisi awataka wasipigishwe kwata na CCM waiachie CHADEMA na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.