5years nimekuwa teja wa hii ki2 iitwayo punyeto a.k.a puchu,kupiga mawe n.k na kila nilipokuwa najaribu kuaacha nilikuwa nashidwa lkn day1 baada ya kupiga nilijickia vibaya na nikawaza kweli hii ki2 imeshaingia akilini mwangu! Nikasema 'NO' nikapiga magoti nakumuomba mungu aniepushe na hili...
Nataka kubadili jina JF kwani manzi wangu kajiunga nimegundua jana baada ya kupost habari nae kunijibu kwamba ashajua nami nimo! Na sababu ya kutaka kubadili ni kwamba kuna time zingine uwa na post matatizo yangu ambayo yeye apaswi kujua! nisaidieni jamanh!
Nimeamia kwenye nyumba miez 3 iliyopita nimelipa kodi ya miez 6! Wiki 2 zilizo pita choo kimejaa! Mwenye nyumba anataka 2change pesa 2wezekuvuta! Mi na wangaji wenzangu 2megoma mwenye nyumba kadai tutajijuu kwa kuwa yeye aishi hapa! Nina wik2 ninaoga kwa rafiki yangu! Je 2nahaki ya kuchanga pesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.