Kwanza nataka kutofautiana na Nape kwamba Igunga walishinda, ukweli ni kwamba Chadema ndio ilioshinda Igunga walichofanya ni wizi mtupu sasa mbinu zote zimejulikana na zimewekwa wazi na kuanzia sasa watalala doro kila uchaguzi watu wamechoka
Watanzania wanapaswa kuichukia ccm kwa kila hali maana wamethibitisha kwamba ni chama ambacho hakina maadili wala sera ndio maana wanapandisha jukwaani vichaa kututukana. Matusi ya Lusinde ni matusi ambayo yanapaswa kukataliwa na kila Mtanzania mwenye akili timamu. Binafsi nimekuwa nikijiuliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.