kuanzia kwako wewe mwenyewe ni janga la taifa kama ulivyomalizia hoja yako! CHADEMA co sehemu ya kujengea majungu ili upate mkate wako wa ck! Punguzen maada za kijinga kama hzi basi dah!
Wana arumeru mashariki bila shaka mwajitambua vzur>ni wakat mwingne mnaletewa mbiv na mbich mchague moja(Watukuza rushwa na watukuza haki) kaz kwenu CDM ipo kwa ajil yenu/yetu sote
Nchi yetu ipo kama mji usio na baba vile,Inasikitisha sana kuona mji wa tanzania umekosa baba mwenye kujisimamia.Kila msaidizi wake anakuwa na ndimi zinazokinzana na mwingine,mara nyingi baba aonapo tatizo katika familia yake hupanga safari za ughaibuni kitu ambacho kiaigharimu familia. Nadhan...
Akiongea na wananch wake hko jimbon kwake anne mkinda(mb) ambaye pia ni sipika wa bunge ametoa tamko tena kuhusiana na tatzo la posho za wabunge(sitting allawance),amesema kuwa zile posho watalipwa wale tu watakao hudhuria vikao vya bunge na ni kwa siku 9 tu baada ya hapo hakuna posho wala nin...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.