wengi humu nadhani ni mashabiki na hawana experience ya wanachoongea. Wakajaribu tu waone hata ndege kama watapanda bila kuwa visa wakienda nchi inayohitaji visa
Imebidi nicheke tu. Kwanza hiyo ndege hautapanda kama hauna visa na unapokwenda unatakiwa uwe na visa. Labda nchi ambayo hutakiwi visa. Endelea na story za vijiweni. Naongea with experience
Ok. Soma vema utaelewa naongea nini, japo ni mtanzania, unapotokea kama hakuna ubalozi wa unapokwenda utapewa visa on arrival. Unapoenda kama kuna mwenyeji huyo ndio wa kumtaarifu afanye hizo arrangement. Simple! They did mistake, Migration was right. Simple
Kuna Shida. They should.come.with their visa. Abuja kuna Tanzania embassy naangalia Ireland kuna embassy ya Tanzania. Why they did not go there. Second, if they expected visa on arrival, waliarrange na nani to find their visa at.the airport. Problem inaaanza from Ndege waliyokuja anayo. HAWA...
Fanya uchunguzi waliowapa wanawake mimba wakatelekeza kwa hila yaliwapata yapi katika mtiririko wa maisha, fuatilia tu tangu enzi za babu na baba zetu achana na vijana wenzetu, unaweza kupata jibu la kufanya nadhani
Hayo mapungufu uligundua lini mkuu, nadhani ulipaswa kujua kabla ya kufanya naye tendo la ndoa, kwa ufupi huwezi sema ukweli, wewe ni wale wa kukwepa majukumu.
Naona upo depressed and unself- prophecy nyingi. Nashauri utafute counselor upate counselling na uwe karibu na Mungu, I mean pray kila wakati yataisha yote
Uliangalia critically hapa ni lugha tu, ila ukweli 1.5 trillions hazipo, serkali haikumjulisha CAG zilipokwenda. Hivyo Bunge lihoji na tuweze kuwa na hitimisho zimepotea au la
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.