Katibu mkuu Necta Dr.ndalichako ametangaza hivi karibuni kuwa mitihani itasahihiswa kwa mashine maalumu kuanzia mwaka huu,ametoa sababu nyingi ikiwemo gharama kubwa kipindi cha usahhshaji.hoja yangu hapa nikwamba kipindi cha nyuma chenyewe wanafunzi walikuwa wanajaza majbu kwenye vibox mfano A.B...
huyu jamaa anamatatizo anajaribu kutufanya sisi n watoto, mzee wa kiraracha mwenyewe kachoko yuko hoi! Eti unalinga nsha kifo na usingiz (TLP NA CHADEMA)ndugu tumia angalau common thnking bila y shule akil!vp?au umelewa unga wandere wa magamba?
Nimekuwa nkifualia sana taarifa za habari za TBC(usiku) na nkagundugua kuwa znapendelea CCM.tr 15 na 16 leo katka taarifa ya habar hawaja onyesha kampen za chadema,hii haingii akilini kwani waandishi wameweka kambi ktka jmbo zma,au ndo wanaogopa kung'olewa kama Tido mhando alvyo kataa kustisha...
Wazee ubunge nimeamin n dil moja kubwa sana!ninge kuwa mimi sioi nsinge jiingiza kwenye siasa za maji taka!ila walio mdang'anya itamgharimu,nimeangalia CV yake leo nka staajabu.then nkajiuliza huyu ndugu nn anataka zaid Amesoma LLB Uk,na jiwe lingine la rasimaliwatu ana nyazfa kibao sijui...
Kwa mtaji huu wana jf tutafka kweli?wanatumia watu tofauti kiumri,kifikira,kiuchumi na mengineyo sasa pale mtu anapo tumia kama huyu jamaa haleti maana.nasubutu kusema labda wanabifu hawa na kama ndo hvyo basi hapa sio sehemu yake.mungi mwombe ndugu radhi kwan alicho kisema n kwel na kwenye...
Jamaa kwa kauli yake namfanansha na wale wabunge masaburi aliosema wanafikiri kwa kutumia .......huwez mkashifu mtu,kama huamin alyo ya sema unge mpotezea na sio kumtukana sjapenda.
siamini taarifa hii.vyuo vyenyewe n vwili.mpaka muda huu kwa makumira na arusha unv.hawajapata taarifa yoyote ya kutofungua chuo mwez ujao.ratiba n ileile tumefuatilia leo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.