Kwani wewe upoje? i mean umefanana na zombie kwani mpaka u force kupendwa siku hizi wenzio tumeshagoma kulizwa na upuuzi wa mtu anaekufanyia ushenzy live hivyo.TUPA KULE KULA UJANA TAFUTA MWINGINE SHAULILO.
Wale ni shule ambazo zilibahatika kuwapata wasomaji na kukesha na wazee wa kuklemu wa wa shule za msingi so haimanishi ni bright kiivyo ndio maana kuna mazezeta tulioenda jangwani na zanaki na shule zingine tunakula maisha kushinda wao.OVER
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.