Nisingependa kuwa muongeaji sana wa Tangazo hili, bali ningependa nikupe nafasi ya kuweza kupata kile kilicho bora na imara zaidi(Roho ya paka) na kuepukana na ghasia za mwendokasi na madalala.
kama Tangazo linavyojieleza hapo juu, gari iko katika mazingira mazuri kabisa, haina shida, full...
Habari zenu wakuu, nauza Toyota Starlet Carat, bei ni Tsh 6.5 maelewano yapo.
Gari ipo kwny hali nzuri, vibali vyote vipo.
Imetembea takribano 83,000km, nimeambatanisha na picha zke hapo chini.
Mawasiliano : 0717 54 73 25
Mambo zenu wakuu, nauza Toyota starlet Carat 6.5 Milioni, ina mziki, AC, haina tatizo kbs.
Kwa muhitaji awasiliane na mm kwa simu namba 0717 54 73 25.
Pia tunaweza kubageni.
Habari zenu wanajukwaa wenzangu, shida yangu ni moja, nimeletewa simu aina Tecno Y4 ambayo ime-corrupt software, sasa lengo langu ni kutaka ku-factory reset.
Hatua1. niliyofanya niku-bofya Volume Up pamoja na power button then ikaniambie mode ya kwenda, ambapo kulikuwa na Normal, Recover na...
Habari zenu wataalamu, natumai mnaendelea vizuri sana katika kipindi hiki ambapo yamebaki masaa machache kuweza kuanza kwa sheria mpya ya makosa ya jinai ya mtandaoni.
Ningependa kuelekea kwenye point moja kwa moja, binafsi ni Blogger ambaye nina miliki blog yangu mwenyewe ya Wordpress ambayo...
habari wanajamvi.
.nauza XBOX 360 yangu kwa bei ya kirafiki kabisa pia nitakupatia cd moja bure ya mission ya blades of time... nitwangie kupitia namba yangu ya voda 0754909834
Hapo Mniacha kidogo, nimejaribu kuangalia this website National Economic Empowerment Council (NEEC)- Home- ila cjaona wap walipoHACK, Mwenye uelewa anaweza akanisafisha macho katika hilo??
Hello Guys, hope y'all r fine , i really need Product Keys of Windows 8 Enterprises, a problem is since i installed Windows 8 Enterprises in my laptop there is a message appear right at the bottom of my screen says ''WINDOWS 8 ENTERPRISES EVALUATION, WINDOWS LICENSE VALID FOR 90 DAYS BUILD...
HII ILIKUWA KWENYE HARAMBEE YA KUCHANGIA CHUO KIKUU CHA AL-HARAMAIN, AMBAPO MWENYEKITI MTENDAAJI WA MAKAMPUNI YA IPP NA RADIO MHE:DR.REGINALD MENGI ALITOA KIASI CHA 100MILLION KATIKA HARAMBEE HIYO NA MWENYEKITI WA NCCR MAGEUZI MHESHIMIWA JAMES MBATIA ALITOA SHILINGI MILLIONI MBILI KATIKA...
NYUMBA INAPANGISHWA (HOUSE FOR LEASE)
AREA/ENEO: MBEZI BEACH WHITE SANDS, DAR ES SALAAM
ROOMS: ONE MASTER, TWO BEDROOMS,FANS,GATE WITH KITCHEN & FULL A/C
PACKING LOT FOR 15 CARS
CONTACTS: +255 715 67 66 55
+255 717 54 73 25
PRICE : TSH 1MILLION PER MONTH
Mambo vipi wadau, Hope Mko poa, Natafuta Kioo cha Spare cha Laptop aina ya Toshiba Satellite,
Pichani chini ndio mfano wa laptop ambao natafuta kioo chake.
:sleepy:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.