Nina kijana hapa amepata div IV.40 ana (D ya biology ) (C ya kiswahili) Masomo mengine NI E na F naomba msaada jinsi ya kupata chuo ya Nursing au sehemu wanapotoa mafunzo ya uhudumu wa afya. Nashukuru kwa mchango wako
Wataalamu naomba msaada wenu nina kuku wangu aina ya kuchi anaumwa anasinzia na kuharisha kinyesi kama cheupe ni dawa gani inaweza kumtibu kuku wangu naomba msaada Maana nilimnunua bei kubwa sana. Shukrani
"" Applicants for entry levels currently employed in the Public Service should not apply, they have to adhere to Government Circular Na. CAC. 45/257/01/D/140 dated 30th November 2010."" Naomba mwenye Huu waraka anisaidie
TAFADHALI INGIA KWENYE WIZARA YA MIFUGO Ministry of Livestock and Fisheries Development - Home - HALAFU ANGALIA UPANDE WA KULIA KWA CHINI KWENYE KICHWA CHA IMPORTANT LINK UTAJIONEA MWENYEWE LINK ZILIZOPO
Wataalamu nimepata tatizo la flash nikitaka kuiformat au kukocpy kitu inaadnika write protected Aina ya flash ni IMATION 4GD nifanyaje kutatua tatizo hili.
THANKS
Wandugu kwa anayefahamu shule nzuri za wasichana, ada na mawasiliano kwa mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Singida, Singida, Morogoro, Iringa Njombe, na Mbeya
Kwa hili ni babu kubwa mi nashindwa kuelewa nachojua kama mtu matokeo yake yana matatizo ana - appeal kinaeleweka lakini kubadili matokeo ya watu wote! hapa kuna tatizo tena kubwa hii ni agenda ya siri mtu atoke div III hadi div I? ''NB: Naomba mods msiitoe hii, fuatilieni mtajua ni kweli, mdogo...
Mr mzumbe na wewe ulikuwepo huko nini au unadandia tu? mi nilidhani ulikuwepo kwenye tukio ila inaelekea na wewe ni mwanachama hai wa CDM ndo maana unafatilia kwa ukalibu hongera sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.