Andika email kwenda support@whatsapp.com eleza kwamba ulikua hacked na hilo limesababisha wewe kushindwa access simu yako na account yako ya whatsapp
Pia nenda kwenye official website yao kuna sehemu ya kuomba msaada... andika tatizo lako na elezea sababu zilizosababisha kufungiwa.
Mimi...
Andika email kwenda whatsapp ukieleza simu yako ilikuwa hacked na sasa umefanikiwa kuirudisha mara baada ya kufanya mawasiliano na mtandao wako.
Omba waifungue whatsapp yako
Sent from my 220733SFG using JamiiForums mobile app
Hizi pia zina alternative sema vijana hamna siri... mkipewa siku mbili mtakuja kutangaza mitandaoni kuuza kwa buku 5. Acha iendelee kuwa siri ya watu wachache.
Sema Voda walitakiwa waje nahii strategy toka mwanzo ili waliteke soko.. Ila walikuja kwa bei za juu. Leo amepatikana mpinzani ndio wanakumbuka strategy kama hizi.
Acha Airtel asepe na kijiji, kwanza router zao zina power bank hii nimoja ya advantage kwa mazingira yetu ya bongo na umeme wetu huu.
Mzigo nimeutia mkononi, Kwa muda mchache niliotumia nimegundua nilikua najichelewesha mwenyewe.
Sasa mwendo wa ku stream tu Netflix, IPTV etc
Good byeee [emoji112] DSTV Decoder na ndugu zake wote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.