Zimeingia channel zaidi ya 400 hata FTA kama ITV haioneshi au hizi ITV,CHANNEL 10, STAR siyo FTA? Naweza kuona DISH ile ya matangazo tu pamoja na CGTV documentary
myoyambendi Vp ulifanikiwaa kupata channels
Kaka Chief-Mkwawa na mm nina hii decoder. Nimejaribu kuunganisha kwa kutumia dish la dstv kupitia satelaiti kadhaa... Channel zinaingia lakini hazionekani inaonesha smartcard failure
Sina uzoefu na hii kitu nimepewa decoder ina kadi 2 abudhabi na...
Siku nyingi sijui kama ulipata tray. Mimi nilinunua hapa Mwanza bila shaka hata Kariakoo utapata.
ANGALIZO KIDOGO MKUU:
Epson ni delicate sana kuwa makini unapoweka PVC card kwenye tray kwani ukiweka kadi vibaya kuna hatari ya kuua head.
Njia nyingine rahisi unayoweza kutumia ni kuprint kwenye...
Kuna printa maalamu za id ambazo zinakuja na software zake soma hapa kwa maelezo zaidi: ID Card Printers - Find an ID Badge or Plastic Card Printer
Epson sidhani kama wana printa special kwaajili ya id lakini unaweza tumia model zile zinazoprint cd kama vile T50 au L805 na ukatumia kuprint id...
Sina hakika wanafanya vipi lakini nnachojua ni kwamba inategemea na content za page/post husika, sio kila link italeta picha. Kwenye wordpress kwa mfano ukiandika post unachagua featured image ambayo inakuwa indexed na post. Kwaiyo kama ukishare link ile featured image inatokea na huu ndio...
Full version haina limit ya wanafunzi tafadhali tembelea website yetu www.shulemax.co.tz
Angalia bei zetu kupitia: Pricing - ShuleMax
Unaweza kuwasiliana na mimi moja kwa moja kupitia 0757449054
Tunatoa trial ya siku 15 ambayo itakuruhusu utumie software ikiwa na modules nyingine kama students...
Nyumba ipo Dar es salaam, Kigamboni, Mvumoni Km 16 kutoka Ferry kufuata barabara iendayo Gezaulole. Kiwanja kina hati ya miliki ya miaka 33 na kina sqm 811. Nyumba ina vyumba vinne vya kulala na car park. Ina umeme, maji ya kisima chenye pampu ya umeme na tanki la maji. Pia, ina uzio wa ukuta...
Ni nchi gani ya Ulaya inayotumia Tecno? Hata nchi za Asia nna mashaka labda huko China. Kampuni ya Tecno imelenga soko la Afrika tu. Inawezekana zisifungiwe lakini hata kama zitaendelea kutumika bado ukweli uko palepale kwamba simu za Tecno hazina kiwango na ni hitari kwa afya yako.
Settings za data na hotspot huwa zinadownloadiwa automatically kwenye simu yako. Kama unashindwa kuset hotspot jaribu kufanya hivi. nenda kwenye Settings>Cellular>Cellular Data Network halafu utaona sehemu ya Cellular Data na Personal Hotspot, kwenye personal hotspot jaza internet pale...
Umesema vyema MK254 lakini na wewe bado unaweza kutoa ujuzi wako na tukaufaidi. Usijali kuhusu kiswahili, kama unaweza kuandika vizuri basi utaweza hata kuongea.
Ni Kama wiki 2 zinakaribia tangu igundulike kuwepo kwa "bug" katika iOS ambayo hupelekea iPhone kushindwa kuwaka iwapo tarehe katika simu itasetiwa kuwa Mei 1970 kurudi nyuma. Unaweza kusoma zaidi kwenye mtandao kuhusu hii bug.
Jana katika pitapita zangu maduka ya kariakoo niliingia kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.