Mada nzuri wadau! Nina Moderm pia ya vodafone, imekuwa unlocked, ajabu nikiweka laini nyingine naambiwa ni lazima niwe kwenye vodafone network! Naomba msaada juu ya hili wakuu
Mbatia yuko very bright na hakurupuki, hii system ya spika na naibu spika kuwa na ukada inapelekea kuwapo kwa matawi manne ya serikali nayo ni serikali kuu, mahakama, bunge na spika +naibu spika kama chombo kinachojitegemea. wizara ya elimu ni matatizo kila kukicha :A S angry::A S angry:
mie nadhani suluhisho la kuchoma magari na nyumba za halmshauri si zuri cha kufanya ni maandamano yasiyokuwa na uharibifu, cha kukatisha tamaa ni pale vyombo vya usalama vikianza kufanya upekuzi wao wengi wataangamia mikononi mwa polisi na hakuna atakaewatazama na kuwaonea huruma
aisee inawezekana umeiandika hii post kwa kutetea nafasi ya ufisadi uliyoishika, mwalimu hakukiagiza chama kuzalisha dhuluma na mafisadi, aliagiza utawala bora na hekima. Leo hekima iko wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.