BUNGE LA KATIBA LABDA ITOKEE MIUJIZA.
(The Game is Over Unless Otherwise Open Rigging Is Applied)
Kwa mujibu Tangazo la Samwel Sitta jana jumatatu 29/09/2014;
Jumla ya Wabunge wote wa Bunge la Katiba = 629
Wanaotoka Tanganyika = 419
Wanaotoka Zanzibar = 210
SASA TUIANGALIE ZANZIBAR PEKE YAKE...
Tangu nianze kumfuhamu kijana anaejiita msomi wa chuo kikuu napata shida uelewa wake kama kweli anajitambua au la..
Wakati vijana wasomi na weredi katika taifa lolote duniani ndio huchochea mabadiliko ya mifumu mibovu na kandamizi kwa kuielimisha jamii ambayo pengine haikupata furusa hiyo ya...
Ndugu wana JF,
Sisi kama watanzania tuepukane na siasa chafu za kisiasa ambazo mwisho wake inchi yetu
iliyokuwa na amani sasa inatoweka,ccm inawatu wengi wasomi kwanini inahalibu siasa
kwa kuhofia kushindwa,kuna mtu aliwahi sema hv karibuni tumepanga mbinu kubwa za kuichafua chadema,
sasa...
Siku zote akili pevu ''i mean conscious mind paves the way of solving the problems''
people with 'dead mind like mwigulu and his part ccm they never think kama wataumbuka siku moja....let chadema proceeds with their credibility and that's what we need to hear always ..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.