Movie ndio kwanza inaanza ngoja nivute kiti nikae vizuri,sterling ndo anapiga jalamba saizi,Tanzania hii sijui tushike lipi na tuache lipi,asante kwa taarifa mkuu.
Siku zote serikali hii tuliyonayo huwa haitibu tatizo bali ina deal na effects za tatizo lenyewe huku ikiliacha tatizo kama lilivyo,pinda anadhani kwa kufanikiwa kuwatuliza ma dr. hawataweza kujimobilize tena na kuanzisha mgomo mwingine,ngoja tusubiri tarehe 3 mbona sio mbali.
"PANAPOFUKA...
Habari wana JF,nimekuwa nikipita kama mgeni mara kwa mara lakini nimeamua kuingia rasmi kama member ili tuweze kujadili mambo yanayoligusa taifa letu kwa ujumla wake pamoja,naombeni ukaribisho wenu wanabodi,nawasilisha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.