Kabla ya sinza ilikuwa kinondoni...
Ni ile tu inafika stage unaona hamna jipya acha nile bwaks ndani au kipub cha karibu au niache kabisa...
Tabata nao one day watasanuka, watapunguza..
Halafu kutaibuka chimbo lingine..
Life is a cycle.
Inawezekana kabisa... maana mi naongea habari za 2004-2005 nikiwa a-level.. kuna mwamba mmoja alikuwa anajiweza (kwao safi sana) na ndio ilikuwa starehe yake.
Mara ya mwisho nilisikia cha ukucha ilikiwa 2000 tena zamani kidogo na sio pure... sasa imagine kilo moja ina nusu kucha ngapi ndani yake? Ile ni starehe ya matajiri
Sawa sawa.. ila mkumbuke unene mwingine ni asili (genetic)..
Si ajabu ukute akienda kufanya check up wanakuta vitals (pressure, sukari, cholestrol n.k.) zote ziko sawa.. si unaona katupia hayo magoli mawili..
Cha muhimu azingatie cardio..
Saa nyingine inawezekana asiwe hata anaongea sana (wapo wanawake wakimya japo wachache).
Ila ukweli ni kwamba mwanamke ukikaa nae muda mrefu utamchoka tu hata kama mzuri vipi... unakuwa hata humtamani tamani kama zamani lakini haimaaniishi humpendi.
Sometimes tunaenda bar ili kuvuta charge kwa...
Hio mbona
Sio mtaalam sana wa Bible ila mafundisho nilipitia..
Somo la toba liko very clear... lazima ujutie mwenyewe kwanza, pili uende ukaombe msamaha kwa uliemkosea...na mwisho ndio uende kutubu kwa Mungu..
Sasa kama uliemkosea kashiakufa sijui unatoboa vipi hapo..
Sio uzingue watu halafu...
Watu mnakua wagumu kuelewa.. hizo takwimu unazoongelea ni za mkoa mzima (Dodoma CC, Dodoma DC, Mpwapwa DC, Kondoa DC, Chemba DC, Kongwa DC)...
Iliyotajwa kwenye hii nyuzi ni Dodoma CC peke yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.