WANANCHI WA ARUMERU WATAMCHAGUA SIOI IKIWA BABA YAKE ALIWALETEA MAENDELEO KATIKA JIMBO AMBALO LINAONEKANA KUWA NA KERO NYINGI AMBAZO ZIMESHINDWA KUPATA UFUMBUZI KAMA AMBAVYO AHADI ZA JAKAYA ZILIVYOSHINDWA KUTATULIWA.KIMSINGI WANANCHI WANA KILA SABABU YA KUTAFAKARI SANA ,NA SI KUCHAGUA ETI KUPATA...
KWA UJUMLA NAUNGANA NA MDAU ALIYESEMA KUWA UMEAMUA TUKUONE KWENYE THREAD KWAMBA NA WEWE UMETOA WAZO.KI UKWELI NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK.MIMI NADHANI KWA USHAURI WANGU NAONA KAMA UMEINGIA CHOO CHA KIKE.WEWE HATA VYOMBO VYA HABARI HAUFATILII?MSALIMIE MJOMBA WAKO MWIGULU...
KIMSINGI NAONA KAMA MADAI NA SHUTUMA UNAZOTOA HAZINA MASHIKO YOYOTE,NI JANA TU UMEJIUNGA UMEANZISHA THREAD YA KUSHAMBULIA VIONGOZI WA CDM.SAWA TUNAOMBA UTUPE DATA KAMILI ZA HIYO NYUMBA YA DUBAI YA MH MBOWE.JE UNAFAHAMU AU UNAJUA FINANCIAL BACKGROUND YA MBOWE JUU YA UKUMBI WA BILICANS?AU...
Nashukuru kama na nyinyi wenzangu mmeliona hili la vitu vya anasa.Kinachonishangaza zaidi ni hizi silaha hasa SMG au alibeba SMG UZIGURN?Maana navyofahamu ni kuwa smg ni silaha kubwa ya kivita.Kwa msingi huu inaonyesha anacho kibali cha kumiliki silaha ya kivita.
KIMSINGI HUTAKI KUULIZA,DUNIA YOTE INAJUA KUWA ALIKUWA MAREKANI AKIWA KAMA MWENYEKITI WA MAPROFESA DUNIANI AKIJADILI DEPRESSION YA DUNIA.HOWEVER SISI TUMEKUWA NA DHANA POTOFU YA USHABIKI WA KINAZI HATA KWA MAMBO YA MSINGI.MI NADHANI PENYE UKWELI TUWE WEPESI KUKUBALI.KWA USHAURI WA BURE JARIBU...
Mimi kwa upande wangu na uzoefu wangu,si kweli kwamba kuna aina hizo.Ni mtazamo tu wa vijana wa kileo.Kuna msemo wa kiingereza usemao kuwa Experience is a mother of sweet.Sasa kama maandalizi yako ni kama ya taifa stars unategemea kusicore nini?kwanza kitendo cha wewe kusababisha maji kutoka ni...
[mimi nadhani suala la kafulila ni too personal.wewe kama wewe huitaji kutuambia kwamba ana elimu gani.kama bunge lina kumbukumbu kuwa ni graduate wewe unaumia kiasi gani?kama sikosei hata karo hukumlipia wewe elimu yake inakuhusu?let us discuss burning issues prevailing in our country.we do...
M mhhhh hapo cuf mumechemusha.hao ni bahadhi ya wanachama ambao wam eamua kumfunga paka kengele,wapo wanachama wengi muda ukifika watajitoa kwenye chama.kikubwa ushauri kwa mtatiro na wengine ambao sauti zao zinasikika wakae na waangalie nini chanzo cha wanachama kuanzaa kukimbia
jamani wana jf mbona hamnipi jibu kuhusiana na post yangu niliyo waomba kuhusiana na mradi wa kuku?bado nipo dilema,kimsingi nilitaka kujua kuku wa wiki 10 wanapatikana wapi na kwa shilingi ngapi,naombeni msaada wenu.
wana jf naangalia uwezekano wa kuanzisha biashara ya soko la asali katika soko la afrika mashariki hususani kenya.asali hii inapatikana kwa wingi tabora,shinyanga na dodoma.pengine kuna mwenye idea juu ya biashara hii,je inalipa?japo watanzania tu woga wa kuthubutu kuingia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.