A secretarial service provider will start its business soon in Arusha and it is currently looking for one business partner to join the founder in the effective operation of the business.
The prospective partner should have the following minimum qualifications:
Form 4 with passes in...
Wadau naomba kujua kama shortlist ya TPDC pia inahusisha Technicians maana mimi nimejaribu kupekua sehemu zote sijaona na kazi hiyo ilitangazwa.
Tafadhali naomba msaada maana kukaaa kijiweni kumenichosha.
Sijaelewa, hivi ni tamko la DP au Mtikila? Au DP na Mtikila ni kitu kimoja? Siasa za Tanzania mpaka aibu, inawezekanaje tamko la chama liwe na hisia binafsi mwanzo mwisho?
Tunahitaji maombi lakini si ya mchungaji kama Mtikila.
Mkuu maandishi yako yanaashiria haya:-
kama vile umekuwa mkali!
Kama vile umechukia!
Kama vile umeguswa na comments za watu makini!
Kama vile unashabikia mambo ya hatari kwa usalama wa watu wanyonge!
kama vile hujui kuwa hatuna polisi ila tuna vijana walinzi wa maslahi ya watu wachache! Lakini...
Kama watanzania tutaikubali rasimu ya katiba kuwa Katiba ya Jamhuri ya Muuungano ya mwaka 2013 na kwa kuwa inapendekeza mfumo wa serikali tatu, basi ni vizuri badala ya serikali ya bara kuitwa serikali ta Tanzania bara iitwe serikali ya Tanganyika.
Mkuu nimejaribu kupitia Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini, pamoja na Kanuni zake sijaona sehemu inayosema kama hapo nilipokoleza. Nadhani unaweza kukubaliana na mimi, kama hutaniambia ilikoandikwa, kuwa kwa sasa mwajiriwa anastahili kuopewa mshahara kamili na sio nusu kama zamani endapo...
Kwa kawaida mahakama pekee ndio ina mamlaka ya kusema ndoa imevunjika na kimsingi mahakama haivunji ndoa ila inatamka (declare) kuwa ndoa imevunjika. Na kuna sababu zilizotajwa na Sheria ya Ndoa zinazoweza kusababisha ndoa ivunjike.
Kwahiyo kama ungesema wewe na mwenzako mna shida gani...
Kwa mawazo yangu naona umeelimika lakini si sana, maana unataka kumbana mwajiri wako lakini hutaki kuweka mambo hadharani ili wadau waone kama ni wewe mwenye kosa au ni mwajiri wako.
Katika kusema kuwa unatakiwa kulipwa nini, ni vizuri kama ungewaeleza wanasheria mambo haya:-
Kwa nini hukuwa...
Nadhani kwa maelezo yako hutapata msaada unaohitaji maana wanasheria wetu huwa wanapenda kupewa maelezo kwa upana zaidi ili waweze kuchambua na kutoa majibu. Kwahiyo ingekuwa vizuri kama ungesema kesi inahusu nini, inadai fidia kiasi gani na vitu vingine kama hivyo.
Samahani kama nimekukatisha...
Kwa kawaida unaporipoti kituo cha polisi na kutoa malalamiko kama hayo ya kwako au mengine yeyote ya jinai, unabaki kuwa mlalamikaji na polisi kwa kwa upande wao wanakuwa na jukumu la kufanya upelelezi na kuona kama malalamiko yako yana msingi wa kisheria au la? Lengo la kufanya upelelezi ni...
Kwa kweli muhishimiwa kachemka sana kama ni kweli, napenda nichukue nafasi hii kukupa pole sana mama muhishimiwa, najua uko kwenye wakati mgumu sana lakini itakubidi ujitahidi kuwa imara, watoto wanakutegemea sana maana hawa jamaa wakishatekwa huwa wanasahau mpaka watoto. Pole sana!
Kuna haya...
Kwa watu wanaojiandaa kuingia kwenye ndoa ni vizuri wafahamu kuwa ndoa si jambo la kukimbilia kabla ya kujipanga na kwamba hakuna majaribio ya kuoa au kuolewa.
Ndoa ni taasisi muhimu katika maisha ya mwanadamu, na kwenye ndoa imara tunapata watu imara na wenye kutimiza wajibu wao, na kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.